Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,053
Nilijikuta nabuni style ya kukata gogo nyumba ya kupanga hadi leo naitafakari sana nabaki kucheka tu.
Nilikuwa nafanya masomo kwa vitendo, sasa nilienda mkoa flani kwa mwaliko wa rafiki angu ambaye alinitangulia kuanza kaz kabla yangu.
Yeye alipanga nyumba na wapangaji wengine ila ile nyumba ilikuwa na choo cha ndani kimoja tu. Shida ni pale ukitaka kukata gogo, nje ya dirisha wanajaa wadada kibao. Siku moja nikagundua wanacheka nikiwa choon kwakuwa nilikuwa najamba sana, nikaona isiwe kesi. Kwakuwa mle choon kulikuwa na mandoo kama tano hiv nikagundua style nikikata gogo, nayagonganisha yale mandoo yaan ni full kelele, hata nikiharisha hakuna anayesikia kujamba, kelele kama kichaa kaingia choon. Walinikoma, nikitoka nje kisharobaro wamenunaaa!
Nilikuwa nafanya masomo kwa vitendo, sasa nilienda mkoa flani kwa mwaliko wa rafiki angu ambaye alinitangulia kuanza kaz kabla yangu.
Yeye alipanga nyumba na wapangaji wengine ila ile nyumba ilikuwa na choo cha ndani kimoja tu. Shida ni pale ukitaka kukata gogo, nje ya dirisha wanajaa wadada kibao. Siku moja nikagundua wanacheka nikiwa choon kwakuwa nilikuwa najamba sana, nikaona isiwe kesi. Kwakuwa mle choon kulikuwa na mandoo kama tano hiv nikagundua style nikikata gogo, nayagonganisha yale mandoo yaan ni full kelele, hata nikiharisha hakuna anayesikia kujamba, kelele kama kichaa kaingia choon. Walinikoma, nikitoka nje kisharobaro wamenunaaa!