Kama unaipenda Hip-Hop karibu tujadiri haya.

Ningependa niongelee issue ya Premo na Dre, lakini nachelea kusema tunapotea. Thread ilikuwa ni discussion ya Hip hop. Lakini naona Dre na Premo wameteka mjadala. Naomba tuendelee na mada kuu. Kuna mengi ya kujifunza na wadau tuna mengi ya kusema na kuuliza.
 
Mi naona bora wangepambanisha watu wanaofanya kazi ya aina moja, DJ ni taaluma tofauti kabisa Rapper!

So Dj Primo yapaswa afananishwe na Producer mwingine anayefanya pia Djayiing!

Dr Dre apambanishwe na Rapper mwingne ambaye pia anafanya Production.

Huwezi fananisha Kiungo Mkabaji na Kiungo Mshambuliaji
 
Ningependa niongelee issue ya Premo na Dre, lakini nachelea kusema tunapotea. Thread ilikuwa ni discussion ya Hip hop. Lakini naona Dre na Premo wameteka mjadala. Naomba tuendelee na mada kuu. Kuna mengi ya kujifunza na wadau tuna mengi ya kusema na kuuliza.


OK umesomeka mkuu...
Ingawa ni ngumu kushiriki mjadala wa Hiphop bila kuwajadili hao watu.
Nakuahidi tu huu ubishi utajitokeza tena mbeleni kwenye thread hii hii.
turudi kwenye mada husika, je nini mchango wako!
 
Mi naona bora wangepambanisha watu wanaofanya kazi ya aina moja, DJ ni taaluma tofauti kabisa Rapper!

So Dj Primo yapaswa afananishwe na Producer mwingine anayefanya pia Djayiing!

Dr Dre apambanishwe na Rapper mwingne ambaye pia anafanya Production.

Huwezi fananisha Kiungo Mkabaji na Kiungo Mshambuliaji


Ok Baraka umesomeka...
Turudi kwenye Mada husika
 
mkuu Matola kwa heshima yako naomba uje utie neno katika mjadala huu.
mjadala huu mi niliutoa hapa JF na nikaupeleka mtaani ambako nilipata upinzani mkubwa mno kutoka kwa wadau
 
Mi naona bora wangepambanisha watu wanaofanya kazi ya aina moja, DJ ni taaluma tofauti kabisa Rapper!

So Dj Primo yapaswa afananishwe na Producer mwingine anayefanya pia Djayiing!

Dr Dre apambanishwe na Rapper mwingne ambaye pia anafanya Production.

Huwezi fananisha Kiungo Mkabaji na Kiungo Mshambuliaji
dre ni DJ pia. na primo siyo dj kama alivyo Funkmaster Flex, yeye ni dj kama dre (WALIANZIA) ila ana lay down tracks bila sampling.
 
Kobello umemvua nguo Dr Dre katika post zako...
Omba radhi
dre anatumia muda mwingi kutengeneza album moja, huwa anasema he takes his time to perfect the beat, well he samples 80% of his beats.
Hata wakati wa Deathrow, Dat Nigga Daz ndiye aliyekuwa anatengeneza beats nyingi za Pac, Dogg Pound. Dre ana beats mbili tu kwenye All Eyez on me!
Plus hana vina vya nguvu.
But he makes money though..... He really know where tha paper is at!
 
DJ Primo ni DJ na Producer.
Dr. Dre ni Rapper na Producer.

Wote ma producer, katika DJ'ing Dr. Dre hamuwezi Primo (DJ Premier), sikiliza scratching katika Code of The Streetz au turntable wizardry katika Mass Appeal- Gangstarr.Katika rapping Primo hamuwezi Dr. Dre kwani Primo si rapper.

Jibu linategemea na mapenzi ya mtu. The comparison is quaint.

Mie nimekuwa influenced sana na East Coast, ilikoanzia Hip Hop (The Sun Rises in The East - Jeru Tha Damaja), kwa hiyo naweza kusikiliza Primo cuts for hours on end.

Na hata nikisikiliza minimalism ya Primo (N.Y State of Mind Pt II -Nas, So Ghetto Jay-Z) Siwezi kuilinganisha na minimalism ya Dr. Dre, if you can call it that- (Keep Their Heads Ringin' **plastic**)

Not to say that the entire "The Chronic" is not a classic, lakini ukiangalia kwamba Dre kama alivyosema mwenyewe ni "producer who can rap and control the maestro" (Ain't Nothing But A G Thang) na Primo hajafanya hivyo, unaona kazi ilivyo kubwa kuwapambanisha. Upande mwingine DJ skills za Premier, sampling na scratching Dre hawezi hata kuzikaribia.

Lakini kwa sababu common ground yao ni producing, kwa mtizamo wangu, nampa DJ Premier ushindi.

There is a certain elegance to Primo, almost a Fibonacci like symmetry that I cannot get from the sometimes run of the mill clutter that could be Dr. Dre.

Hakuna ninachoweza kuandika nisirudie ulichokwishaandika! Nimekuvulia kofia mkuu!!!
 
dre ni DJ pia. na primo siyo dj kama alivyo Funkmaster Flex, yeye ni dj kama dre (WALIANZIA) ila ana lay down tracks bila sampling.

Kwa maana hiyo unataka kufananisha U Dj anaofanya Abubakar Sadiq na DJ JD(John Dillunga)?

Yawezakana wote mkawa mwafanya Djaying, lakini katia level tofauti?

Hiyo ndo maana yangu, Jermnan Dupri ni Producer na Rapper hata kama anafanya Deejaying sio kwa level ya DJ Primo
 
dre ni DJ pia. na primo siyo dj kama alivyo Funkmaster Flex, yeye ni dj kama dre (WALIANZIA) ila ana lay down tracks bila sampling.

Kama Dre ni DJ basi hata Primo ni rapper pia.

NWA DJ wao alikuwa Yella.
 
Mimi ni mpenzi sana wa De La Soul, The Jungle Brothers, na A Tribe Called Quest.

Phife Dawg aka the Five-footer is one of the illest MCs.
 
Kama Dre ni DJ basi hata Primo ni rapper pia.

NWA DJ wao alikuwa Yella.
Kasome historia yake halafu ndiyo uanze ubishi, Dre ni DJ Andre, ambaye pia alikuwa R&B singer. Dre ni kama Shalamar.... turned OG
 
Mkuu Kiranga pote umo? kutoka theories za universe na atheism hadi kumtambua producer mkali!
 
Habari zenu mashabiki wa Hip-Hop! Leo ningependa tuelezane mambo mbalimba kuhusu music huu ili na wengine wajifunze. Yawezekana kabisa wengi wetu hapa hatujui kwamba hip-hop ina matawi mengine mengi kwasababu hip-hop ni genre ya music basi nayo pia ina sub-genres zake kwa kuanzia tu Hip-Hop kwa kule Marekani imegawanyika katika vipengere kadhaa kutokana na geographical position hapo kuna. -WEST COAST HIP HOP -MIDWEST HIP HOP -NORTH WEST HIP HOP -EAST COAST HIP HOP.
Chifu, Southern Hip Hop umeiacha wapi? Wenyewe wanaita Dirty South, Southern Rap..ikiibuka kujibu mapigo ya East na West - kujaribu kuuonyesha kwamba hata South nao wanaweza kuwa rappers. Kuanzia kwa kina the Geto Boys, Bun B and Pimp C (UGK - UnderGroundKings), 8 Ball & MJG, Jermain Dupri, Dungeon Family (OutKast, Goodie Mob, Killer Mike) hadi kwa kina Ludacris, TI, Lil Wayne, Lil Jon - ambaye naye amekuja kama vile kuirevolutionize hip hop kwa kuingiza punk rock beats - heavy bassline, na kuja na genre inaitwa crunk music - crunk hip hop. Hawa jamaa - hususani hii crunk music - kwa namna fulani imeharibu kabisa ile Hip Hop asili, ya East na West. Kwani sasa si East, North, Midwest na hata West, wanamuziki wengi wanatekwa na crunk music - angalia Lean Back ya Fat Joe, Smack That ya Eminem ft. Akon n.k.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom