Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari zenu mashabiki wa Hip-Hop! Leo ningependa tuelezane mambo mbalimba kuhusu music huu ili na wengine wajifunze.
Yawezekana kabisa wengi wetu hapa hatujui kwamba hip-hop ina matawi mengine mengi kwasababu hip-hop ni genre ya music basi nayo pia ina sub-genres zake kwa kuanzia tu Hip-Hop kwa kule Marekani imegawanyika katika vipengere kadhaa kutokana na geographical position hapo kuna.
-WEST COAST HIP HOP
-MIDWEST HIP HOP
-NORTH WEST HIP HOP
-EAST COAST HIP HOP.
Lakini lengo langu sio hizo geographical differences ningependa tujadiri sub-genres kama,
1-HARDCORE Hip-hop
2-GANGSTA RAP
3-HORROCORE
Ziko nyingi lakini kwa kuanzia tuanze na hizi.
Ukianza na Hardcore hip hop ambayo ilianzia pande za East Coast hasa katika jiji la New York na watu wanaosadikika kuianzisha ni Emcez kama, Run-D.M.C.,
Schoolly D,
Spoonie Gee,
Boogie Down
Productions,
Public Enemy and Kool
G Rap,
Miaka ya 1980's-1990's. Ikiwa na mtazamo wa kuelezea ubaguzi wa rangi, starehe, maisha ya mtaani na mengineyo.
Baadaye inakuja Gangsta Rap ikiwa inatokea upande wa West Coast na muanzilishi akiwa ni Ice -T na N.W.A ikiwa kama zao la Hardcore Hip Hop ndio maana bwana Schoolly D anaonekana kama pia alichangia kukua kwa muziki huu pia. Gangsta Rap pia ilikua ikichambua maisha ya mtaani ya mtu mweusi, ubaguzi wa rangi, starehe lakini baadhi ya wasanii wakaja kujiingiza katika makundi ya uharifu kana Crips na Bloods (nitakuja kuyaongelea pamoja na maana ya rangi za bandena).
Horrocore ni subgenre nyingi inayotokea Mid America sehemu za Detroit ni kwingineko na kundi la Ghetto Boys wanaonekana kama ndio waanzilishi na pia wasanii kama Kungfu Vampire na sasa Eminem ni mifano ya style hii iliyoegemea katika mashahiri ya imagination.
Kwa leo tuishie hapa lakini nafungua darasa hili kama kuna chochote waweza kuongeza au kuuliza. Karibuni wadau.
Yawezekana kabisa wengi wetu hapa hatujui kwamba hip-hop ina matawi mengine mengi kwasababu hip-hop ni genre ya music basi nayo pia ina sub-genres zake kwa kuanzia tu Hip-Hop kwa kule Marekani imegawanyika katika vipengere kadhaa kutokana na geographical position hapo kuna.
-WEST COAST HIP HOP
-MIDWEST HIP HOP
-NORTH WEST HIP HOP
-EAST COAST HIP HOP.
Lakini lengo langu sio hizo geographical differences ningependa tujadiri sub-genres kama,
1-HARDCORE Hip-hop
2-GANGSTA RAP
3-HORROCORE
Ziko nyingi lakini kwa kuanzia tuanze na hizi.
Ukianza na Hardcore hip hop ambayo ilianzia pande za East Coast hasa katika jiji la New York na watu wanaosadikika kuianzisha ni Emcez kama, Run-D.M.C.,
Schoolly D,
Spoonie Gee,
Boogie Down
Productions,
Public Enemy and Kool
G Rap,
Miaka ya 1980's-1990's. Ikiwa na mtazamo wa kuelezea ubaguzi wa rangi, starehe, maisha ya mtaani na mengineyo.
Baadaye inakuja Gangsta Rap ikiwa inatokea upande wa West Coast na muanzilishi akiwa ni Ice -T na N.W.A ikiwa kama zao la Hardcore Hip Hop ndio maana bwana Schoolly D anaonekana kama pia alichangia kukua kwa muziki huu pia. Gangsta Rap pia ilikua ikichambua maisha ya mtaani ya mtu mweusi, ubaguzi wa rangi, starehe lakini baadhi ya wasanii wakaja kujiingiza katika makundi ya uharifu kana Crips na Bloods (nitakuja kuyaongelea pamoja na maana ya rangi za bandena).
Horrocore ni subgenre nyingi inayotokea Mid America sehemu za Detroit ni kwingineko na kundi la Ghetto Boys wanaonekana kama ndio waanzilishi na pia wasanii kama Kungfu Vampire na sasa Eminem ni mifano ya style hii iliyoegemea katika mashahiri ya imagination.
Kwa leo tuishie hapa lakini nafungua darasa hili kama kuna chochote waweza kuongeza au kuuliza. Karibuni wadau.