Habari zenu wakuu,
Mimi ni mkazi wa dar nimemaliza form six, pia nipo vizuri kwenye computer basic (word and exel) pia ni dereva mzuri wa gari na pikipiki nina leseni class A B na D, na pia nina cheti cha JKT, ninatafuta kazi ya either ya ulinzi.
Delivery kwa gari/pikipiki, kumuendesha mtu na kazi nyingine yoyote unayoona inaweza ikasaidia kuniingizia kipato, nipo dar maeneo ya Makumbusho, msaada wako ni muhimu mkuu, nipo tayari kufanya kazi mda wote yaani kama ni usiku/mchana.
Mimi ni mkazi wa dar nimemaliza form six, pia nipo vizuri kwenye computer basic (word and exel) pia ni dereva mzuri wa gari na pikipiki nina leseni class A B na D, na pia nina cheti cha JKT, ninatafuta kazi ya either ya ulinzi.
Delivery kwa gari/pikipiki, kumuendesha mtu na kazi nyingine yoyote unayoona inaweza ikasaidia kuniingizia kipato, nipo dar maeneo ya Makumbusho, msaada wako ni muhimu mkuu, nipo tayari kufanya kazi mda wote yaani kama ni usiku/mchana.