Kama unafanya haya unayapkoteza maisha yako.

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,655
(1)Kutoka kwingi na hupati faida yoyote.
ina maana gani kuhudhuria kila sherehe hata zile ambazo hujaalikwa? Kama una utaratibu wa hivyo acha mara moja fanya vitu vingine.

2.Kuwa na mahusiano yasiyokua na mbele wala nyuma.
Unakuta mtu anangangania mahali asiachwe na pisi kal-lakini moyobi anajua kabisa mimi hapa sioni mbele na anaendelea kuwekeza hapo hapo tu.
amka

(3)Hofu ya kufikiri sana juu ya mambo na changamoto za maisha haimaanishi kwamba ndio utayamaliza hapana amka fanya kitu.

4.Uoga juu ya mtizamo wa raia wengine wanavyowaza kuhusu wewe.

5.Kuvuta sigara unaumaliza uhai wako taratibu bila kujua.

6.Kukosa muda wa kutosha kulala

7.kuairisha shughuli zako nk..
nyingine mtaongezea...
 
5. Ni uongo wa waziwazi vibabu viko bush vinavuta goro na vimezeeka ila havikati moto na vimevuta tangu ujana wao hadi vinazeeka

hata bi kidude kavuta sana ila kafariki umri umeenda hadi napata wazo labda sigara ni kionjo cha kuishi zaidi (kuwa na maisha marefu) wazungu wakaamua kututisha kutovuta ili tusiishi maisha marefu.
 
5. Ni uongo wa waziwazi vibabu viko bush vinavuta goro na vimezeeka ila havikati moto na vimevuta tangu ujana wao hadi vinazeeka

hata bi kidude kavuta sana ila kafariki umri umeenda hadi napata wazo labda sigara ni kionjo cha kuishi zaidi (kuwa na maisha marefu) wazungu wakaamua kututisha kutovuta ili tusiishi maisha marefu.
Wale wanakula ugoro na tumbaku amabzo hazijaongezewa ladha nyingine za viwanda hivyo kuwezi kusema zile ni sigara. sigara ina viwango.
 
5. Ni uongo wa waziwazi vibabu viko bush vinavuta goro na vimezeeka ila havikati moto na vimevuta tangu ujana wao hadi vinazeeka

hata bi kidude kavuta sana ila kafariki umri umeenda hadi napata wazo labda sigara ni kionjo cha kuishi zaidi (kuwa na maisha marefu) wazungu wakaamua kututisha kutovuta ili tusiishi maisha marefu.
Kizazi hicho usikilinganishe na hiki kizazi cha sasa cha mabroila hiki. Kizazi kile kilikuwa imara sana. Kilikula vyakula vya kiasili siyo hivi vyenu vilivyojazwa makemikali ya kila aina. Kilifanya kazi za mikono karibu kila siku na kilikuwa ngangari sana kiafya bila haya maradhi ya sasa ya ajabu ajabu. Mazingira kilimokulia pia yalikuwa safi. Mamangu mpaka miaka 89 alikuwa bado analima kishamba chake cha mahindi na mboga mboga na hakuwahi kuumwa mbali na homa za kawaida tu....

Na hivyo vizee vyako vinavyovuta sigara tangu ujana usivitumie kama mfano kupinga hoja kwamba sigara zinasababisha kansa na matatizo lukuki ya kiafya. Hivyo vinaitwa vighairi (exceptions) na vipo kila mahali. Kwa kawaida huwa ni vichache tu (scientifically insignificant) na ukivichunguza vizuri utakuta vina genes fulani inavyovisaidia. Wewe ukijaribu hata miaka 10 hufikishi kansa ya mapafu hii hapa. Mkanganyiko eeeh!?
 
Kizazi hicho usikilinganishe na hiki kizazi cha sasa cha mabroila hiki. Kizazi kile kilikuwa imara sana. Kilikula vyakula vya kiasili siyo hivi vyenu vilivyojazwa makemikali ya kila aina. Kilifanya kazi za mikono karibu kila siku na kilikuwa ngangari sana kiafya bila haya maradhi ya sasa ya ajabu ajabu. Mazingira kilimokulia pia yalikuwa safi. Mamangu mpaka miaka 89 alikuwa bado analima kishamba chake cha mahindi na mboga mboga na hakuwahi kuumwa mbali na homa za kawaida tu....

Na hivyo vizee vyako vinavyovuta sigara tangu ujana usivitumie kama mfano kupinga hoja kwamba sigara zinasababisha kansa na matatizo lukuki ya kiafya. Hivyo vinaitwa vighairi (exceptions) na vipo kila mahali. Kwa kawaida huwa ni vichache tu (scientifically insignificant) na ukivichunguza vizuri utakuta vina genes fulani inavyovisaidia. Wewe ukijaribu hata miaka 10 hufikishi kansa ya mapafu hii hapa. Mkanganyiko eeeh!?
navuta fegi tangu nna miaka 16 hadi leo hii zaidi ya miaka 11 navuta tu mkuu hakuna cha kansa wala kansas city ni porojo na kutishana tu.
nakula vyakula vya kawaida kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom