Ringers
JF-Expert Member
- Mar 9, 2019
- 281
- 339
Kuazima labda geto. Hahah kwanini isiwe geto moja kwa moja. Mi najua ni kitendea kazi. Ila usijali nimekuelewa some times kale kaharufu ka ubeberu kanaboa waeza ukakata stim za binti.Mbona huuliz kuazma nn? mi nimemaanisha kuazma labda geto mana kwako unkuta hapaeleweki unaanzake kumpeleka..afu unakuta kuna kale kaarufu kakiume kale kamesambaa chumba kizima .