Habari wanajamvi nimefanya utafiti juu ya baadhi ya uzi humu JF ambazo zina husiana na biashara kutoka Uganda nyingi ni za mda.
Naomba kama kuna mtu yoyote anaefanya biashara ya kununua vitu Uganda na kuleta Tz naomba aje nahitaji mwongozo.
Juu ya namna ya kufika Uganda masoko ikiwezekana kupata mwenyeji sio mbaya.
Wanajamvi tupeane taarifa kwani kila mtu anatafuta.
Naomba kama kuna mtu yoyote anaefanya biashara ya kununua vitu Uganda na kuleta Tz naomba aje nahitaji mwongozo.
Juu ya namna ya kufika Uganda masoko ikiwezekana kupata mwenyeji sio mbaya.
Wanajamvi tupeane taarifa kwani kila mtu anatafuta.