Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,462
- 6,506
Basi sawa.
Yaani umeandika utopolo mtupu. Yaani hii ndo justification yako?Rafiki yangu alipata eneo la nusu heka, aliamua kujenga nyumba ya nyuma ya vyumba vitatu na kimoja ni en-suite. Kwa kweli sikumuelewa, ingawa vyumba viwili aliwapa dada na kaka wa kazi na ensuite aliiweka kwaajili ya wageni.
😂😂😂😂😂Haya yote yametokea mara baada ya uwongozi wa awamu ya tano kuingia madarani.