Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Rafiki yangu alikuwa
amesinzia tukiwa darasani,
nikachukua simu yake
nikabadilisha alivyosave
namba yangu nikasave "lovely
dad" (ndivyo alivyokuwa
amesave jina la baba yake
mzazi)
Nikamtumia SMS "mwanangu
nimeshinda millioni 100 toka
BIKO, na sasa hivi tutakuwa
na maisha mazuri. Acha
shule njoo tupange tutafanya
biashara gani"
Rafiki yangu baada ya
kusoma sms akanyanyuka na
kukusanya kila kilicho chake
akaanza kuondoka.
Alipofika mlangoni mwalimu
akamuuliza unaenda wapi
bila kuomba ruhusa?
Akageuka akamwonyesha
mwalimu kidole cha kati,
akaachia mfyonzo mkali kisha
akasepa.
Sasa hivi ananisaka kinyama,
nani anajua sehemu nzuri ya
kujifichia
Hahah
 
STORY YA DEM WA ADMIN

ADMIN
Morning guyz

LUCY
typing..

ADMIN added George

GEORGE
typing...

LUCY
Morning bebz

ADMIN
typing..

GEORGE
Thanx for add Admin

ADMIN
Welcome bro,za siku

GEORGE
typing..

LUCY
Bebz ninashida,nataka kwenda Moro bt sina nauli,i need only 10,000@Admin

ADMIN
typing..

GEORGE
Nko poa bro,am driving. sorry, ntakuchek baadae.

LUCY
typing..

ADMIN
Bebz nko vbaya now, ngoja nifight jioni ntakurushia@Lucy

LUCY
Niaje George.

GEORGE
typing..

ADMIN
Hope umenielewa bebz@Lucy

GEORGE
Poa sana Lucy, niambie

LUCY
typing..

ADMIN
Safe journey bro@ George

LUCY
Umesema your are driving to where?

ADMIN
typing..

GEORGE
Moro @ Lucy.

LUCY
typing..

ADMIN
Kwani huoni message zangu Lucy?

LUCY
Gosh! Umefika wapi @ George?

GEORGE
typing..

ADMIN
George si umesema unadrive tuchat baadae?

GEORGE
Nimefika Ubungo Mataa @ Lucy

LUCY
typing...

GEORGE
Nlikuwa nadrive bt now no ubungo mataa na kunafolen ile mbaya @ Admin

ADMIN
typing..

LUCY
Plz ukifika Kimara nshutue at mm naenda Moro na sina nauli.

GEORGE
typing..

ADMIN
Bebz nimepata, nakurushia@ Lucy.

GEORGE
Haina shida Lucy,in fact I was so loney.

LUCY
typing..

ADMIN removed George.

LUCY left

Hahaha
 
.....hapo sasa.....
20190730_075300.jpeg
 
A mother used to cook her kids chicken everyday, but the kids got fed up.
Gal: Nitaambia mum aache kupika kuku.
Boy: kwa nini?
Gal: Nimeanza kumea manyoya huko chini.
Boy: Nilidhani ni mimi tuu!
Gal: ata wewe? Ona zangu venye ni mob. Ebu nione zako.
Boy: taking short down. Ona kazi ya mum na kuku zake daily.
Gal: Ghai! Yako imezidi, si manyoya pekee,unamea shingo ya kuku pia.
Boy: hata si shingo pekee, shika usikie mayai mbili hapa chini ya shingo.......

Hahahaha
 
Pilli alikuwa anamnyonyesha mwanaye. Rafiki ake Kipenzi (Halima) alikuwa amekaa pembeni anaangalia mtoto anavyonyonya.....
Halima akasema,
"kananyonya kama babake"
...Sasa hivi tunajaza PF3 hapa kituo cha Polisi, Kuelekea Hospitali..
:D:D:D:D:D
 
Mwaka 1978 timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars kulikuwa kuna mchezaji anaitwa Otieno Mboo.
walifanikiwa kufika Fainali ila huyo mchezaji aliumia mechi ya Nusu fainali,
Magazeti ya Kenya yaliandika vichwa vya habari "WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO", Raisi akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi....
Walibadilisha na kesho yake kuandika "WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE"
Siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani
Hahahahaha
 
317 Reactions
Reply
Back
Top Bottom