Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Screenshot_20190707-192445.jpeg
 
.....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)

Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka

Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?

Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....
Duuh!
 
317 Reactions
Reply
Back
Top Bottom