Oohhh hahaSijawahi kuona mchungaji yeyote akihubiri kuhusu ile ramani iliyoko nyuma ya Biblia! au huwa wanatuficha ukute ndo njia ya kwenda mbinguni ilipo!
HahahahaWakati tupo form3 mwalim aliandika neno "PESNI" ubaoni akasasema tuliandike vizuri ili kuleta maana sahihi......_* _Walioandika *SPINE* wanasoma udaktari saiv, wale walioandka sawa na mimi ndo wanasoma hii text