Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 43,967
- 104,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
January ngumu sana, kuna jamaa anauza paka, sasa ananilazimisha nimnunue, nimemwambia kwangu hakuna panya. Basi ameniambia panya atawaleta jioni
Sent using Sattelite c1175b
Halafu uwa yanakomaa yanataka watu wajueHalafu unaishi nyumba ya kupanga banda la uwani. Muda unataka kumtoa, wapangaji wenzako washaamka, wamekomaa hapo uwani! Na wewe unahitaji kuwahi kazini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukute na wewe ulikuwa unagonga mzigo mpaka majirani wakakosa usingizi
Hahahahahah,imenikumbusha miaka ya 2000 nilikuwa kisiwa kimoja huko lake Victoria kinaitwa Bulongero sasa kule usiku wanatumia majenereta kufua umeme so wanatumia zile bulb za mwanga mdogo,so kinywaji kimekolea kikaingia kidemu fulani plus na mwanga hafifu kilikuwa kinawaka mie nikavuta mzigo muda si mrefu tukazama gesti yenyewe ya mabanzi mwanga ni uleule nikapiga mashineUkute na wewe ulikuwa unagonga mzigo mpaka majirani wakakosa usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh, hatarrr sana hii kityuz.Hahahahahah,imenikumbusha miaka ya 2000 nilikuwa kisiwa kimoja huko lake Victoria kinaitwa Bulongero sasa kule usiku wanatumia majenereta kufua umeme so wanatumia zile bulb za mwanga mdogo,so kinywaji kimekolea kikaingia kidemu fulani plus na mwanga hafifu kilikuwa kinawaka mie nikavuta mzigo muda si mrefu tukazama gesti yenyewe ya mabanzi mwanga ni uleule nikapiga mashine
Asubuhi kumcheki demu ni kituko kwanza alikuwa na lile goitre la shingoni utadhani ndege joni/marbhour stock,mezani naona bukta 3,plus tight 2 na chupi na juu kapiga jeans. Means tako lilikuwa linalingana kichwa cha mtoto,pozi lote liliisha.Halafu ndo linakomaa kuniita dear dear
Sent using Jamii Forums mobile app