Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mzee Rooney umetisha sana
Screenshot_20200112-154441.jpeg
Screenshot_20200112-154451.jpeg


Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
A newly married couple was walking through a garden, suddenly a dog ran towards them.

They both knew it will bite them..

The husband lifted his wife ready to let the dog bite him rather than his sweetheart

The dog stopped before them, unsure what to do, barked a little while and ran away.

The husband put his wife down, expecting a hug and a few kind words of gratitude from her.

But his wife shouted
"I have seen people throwing stones and sticks at dogs, this is the first time I am seeing someone trying to throw his wife at a dog"!!

Husband... ""

Moral : A Wife is a Wife

No One ELSE Can MIS-UNDERSTAND a Husband Better, than a Wife.

 
Umeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay
mziki,wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki
yako kwa sautiii ili akusikie, mara Dj
anazima gafla mziki huku
unapayuka halafu inakukuta
unapayuka "Bibi arusi mbayaa"
halafu umekaa nyuma ya meza ya
wazazi wake...


Hapo ndio utajuakuwa kiwembe na kisu vinakata lakini havina diwani
Hhhhhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom