Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,318
- 16,483
Teh. Watu wana maneno.WAZO LA LEO
Mwanamke mwenye kuvaa deraa,kama hana Tako ni sawa kavaa KANZU
Ila tako si kila mtu analo jamani?
Teh. Watu wana maneno.WAZO LA LEO
Mwanamke mwenye kuvaa deraa,kama hana Tako ni sawa kavaa KANZU
Duh! Uko nje ya mada mkuuKaka, mi nawashwa....naomba unikune tafadhali ila usiniguse naniuuu.
Duh! Uko nje ya mada mkuu
Hahahaa kweliiiiwenzetu wazungu wakiwa matembezini alafu mtoto akajikwaa akaanguka mama utamsikia "oooh baby are you okey??"
lakini Tanzania utasikia "usimuangalie ataanza kulia"
Mmmh kivuli kinashauri ununue nyama*KIVULI BHANA*
*Yaani mimi nipo kwenye kibanda nanunua MCHICHA lakini chenyewe kimesimama BUCHANI*
Ubongo Sukuma akili na Sio Vingine
wenzetu wazungu wakiwa matembezini alafu mtoto akajikwaa akaanguka mama utamsikia "oooh baby are you okey??"
lakini Tanzania utasikia "usimuangalie ataanza kulia"
Au we unatembeaje..!!!angalia unakoenda..sio u akotoka ...tubadilike kwakweli.Au utawasikia wakisema, mwache tu abakwe na wahuni.
Safi....siku nyingine ATAKUSHANGAZA TU.Kuoa mwanamke asiye na elimu raha sana.! jana kanitight baby unaenda wapi jioni yote hii.?!
Nkamjibu baby naenda mbeya kubadirisha profile picture. Akajibu; sawa honey safari njema.
Kweli kila mtu analoTeh. Watu wana maneno.
Ila tako si kila mtu analo jamani?
Hahahaa kifo!tunakiogopa lakini lazima tutakutana nacho siku wala saa hatuijuiJamaa aliingia msikitini akiwa kashika panga huku jasho likimtoka,akasema"nani muislamu humu?"wote wakauchuna.Akarudia tena"nauliza nani muislamu humu hamnisikii?"wote kimya.Akamgeukia Imamu"wewe sio muislamu?"...Imamu:aaaaah jamani kukaa mbele tu hapa ndo nimeshakuwa muislamu?"...Akamshika mkono muumini mmoja aliyekuwa karibu na mlango akamtoa nje,akamwambia "naomba ukanichinjie mbuzi nyumbani nina wageni leo waislamu"....jamaa akaenda akamchinjia halaf akamwambia"ila utaalamu wa kuchuna ngozi sina labda ukamchukue mwenzangu"....jamaa ikabidi arudi msikitini huku panga linavuja damu....Imamu kuona vile akasema"tumsifu Yesu kristo"...waumini wakaitikia"milele amina!!"
Alimaanisha churaTeh. Watu wana maneno.
Ila tako si kila mtu analo jamani?
Akuje umtume chumvi au chumvini?Hey ,I'm urgently looking for an individual aged 20-30.He/she should be either a diploma or Degree holder in any course and should be able to fluently speak English or Kiswahili
Tribe doesn't matter.
Akuje nimtume Chumvi.
Hahahaha kwisha habari yakoJana nilipitia pale Polisi Sentro nikaona yale magari yao rangi ya blue mawili yameandika 4WD mi nikaisolve
4WD x 4WD = 16 + W² + D²
Hapa nipo kwenye Defender sijui ndio napelekwa Mlimani-Chuo kikuu
Hesabu ndogo tu imewashinda siku zote