Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Jamaa aliingia msikitini akiwa kashika panga huku jasho likimtoka,akasema"nani muislamu humu?"wote wakauchuna.Akarudia tena"nauliza nani muislamu humu hamnisikii?"wote kimya.Akamgeukia Imamu"wewe sio muislamu?"...Imamu:aaaaah jamani kukaa mbele tu hapa ndo nimeshakuwa muislamu?"...Akamshika mkono muumini mmoja aliyekuwa karibu na mlango akamtoa nje,akamwambia "naomba ukanichinjie mbuzi nyumbani nina wageni leo waislamu"....jamaa akaenda akamchinjia halaf akamwambia"ila utaalamu wa kuchuna ngozi sina labda ukamchukue mwenzangu"....jamaa ikabidi arudi msikitini huku panga linavuja damu....Imamu kuona vile akasema"tumsifu Yesu kristo"...waumini wakaitikia"milele amina!!"
Hahahaa kifo!tunakiogopa lakini lazima tutakutana nacho siku wala saa hatuijui
 
Hey ,I'm urgently looking for an individual aged 20-30.He/she should be either a diploma or Degree holder in any course and should be able to fluently speak English or Kiswahili
Tribe doesn't matter.


Akuje nimtume Chumvi.
Akuje umtume chumvi au chumvini?
 
Jana nilipitia pale Polisi Sentro nikaona yale magari yao rangi ya blue mawili yameandika 4WD mi nikaisolve
4WD x 4WD = 16 + W² + D²
Hapa nipo kwenye Defender sijui ndio napelekwa Mlimani-Chuo kikuu

Hesabu ndogo tu imewashinda siku zote
Hahahaha kwisha habari yako
 
Back
Top Bottom