Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!

Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja" mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.


Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!!
I think nakaribia kupona


Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..


Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm
Kijana unaweza kufanya stand up comedy...umenichekesha kabla sijalala leo....asante.
 
Stress ni nini,

Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lifti

Bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba.

Una tahamaki na kumwambia daktari huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia daktari ni mimba yake, unashtuka daktari anakwambia hebu njoo nikupime

Baada ya muda daktari anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi, lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na mawazo na kufikiria kama sina uwezo wa kuzalisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.?
 
jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
 
Mambo ya daladalan bhana
Boy: Dada mambo
Girl: mwanaume suruali nikupeleke WAP?
Boy: wanapouza mashati!

Nmecheka had nmepitiliza kituo naona mahali pame andikwa miltar lugalo afu niko ndan ya fensi naskiza atae kuja nielkeza
 
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaahkwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka
 
jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...

Daaahhh nimecheka kwa nguvu nusura ushuzi utoke eti mmetoka wap mnaenda wap
 
Back
Top Bottom