Kwa mara ya pili nimemuuliza mtu mwingine yuko kwenye big insurance company, kasema Comp insurance hata ukiwa na makosa unalipwa. Kusema ukweli wewe ndio mtu wa kwanza namsikia akisema ukiwa na makosa hulipwi hata ukiwa na comp insurance.
Sio mimi kasome sheria ya insurance.. utajifunza kitu
Ingekuwa wanalipa lipa tu wangeshafirika kkwajinsi wa africa tulivyo wezi na wabinafsi.. watu wangekuwa wanajipa ajali ili walipwe gari lingine