Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,253
- 7,375
hiyo wanalipa tu! utaambiwa breki ziligomaKwa mara ya pili nimemuuliza mtu mwingine yuko kwenye big insurance company, kasema Comp insurance hata ukiwa na makosa unalipwa. Kusema ukweli wewe ndio mtu wa kwanza namsikia akisema ukiwa na makosa hulipwi hata ukiwa na comp insurance.