hahahaha hii kaliKwa u serious wa baba angu hata kabla sijaongea nae
anaweza niangalia jicho hiloooo nikajikuta namwambia
DADie mama kasema chakula tayari
Walala kwa shemeji ni kawaida yenu kujisifiaUnataka nikuambie mimi nan? nitoke nyuma ya keyboard ujione una bahat kubishana na mtu kama mimi
Ukinijua nikitoka nje ya keyboard utajiona una bahati sanaWalala kwa shemeji ni kawaida yenu kujisifia