Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
Mimi sijaoa na maisha yanaendamkuu kwako unawezaje kuvumilia hivi vitu au haujaoa
Mimi sijaoa na maisha yanaendamkuu kwako unawezaje kuvumilia hivi vitu au haujaoa
Jana ilikuwa ya 85 mkuuDay 1345 without sex:
Nimelalia mto wa sufi nikipretend ni kifua cha mwanamke
Right now without sex:Jana ilikuwa ya 85 mkuu
Mkuu ila viwandani ni hatar sana wanawake wanachukuliwa kibabe akigoma kesho yake hapigi kazi
Ni viwanda vyote...Kwahiyo hata A To Z na sunflag ndo tabia yao hii?maana inameza wadada wengi sana