Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,959
- 3,986
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,mm mzee akikuwa akinikogesha mpaka naanza kuwa na akili ya kujitambua nilikuwa nampenda sana baba, na siku moja aliniambia mwanangu wapende sana wanao kama mimi ninavyokupenda toka umezaliwa,,
Nami nafanya hivyohivyo huwezi amini wanangu wananipenda mpaka mama yao anashangaa,Tuwapende watoto wetu
Nami nafanya hivyohivyo huwezi amini wanangu wananipenda mpaka mama yao anashangaa,Tuwapende watoto wetu