Kwa nini miaka 40+? Kwa sababu kwa umri huo hata ukiupata ukipiga dawa unaweza kutoboa miaka 60 ambao ni life expectancy ya mtanzania.
Tumepitia kipindi kigumu sana,
nakumbuka nikiwa O level dispensary ya shule sindano zinachemshwa kama Mayai, hakukuwa na disposable syringe, nesi akipitiwa mtashare hiyo sindano..
Kumbuka filamu za ukimwi za kutishana kama Neira ya Oliver Mtukudzi ukiangalia hata demu akikupa bure muda huo unakataa.
. Kumbuka wapendwa wetu waliokufa mifupa mitupu na nywele kunyonyoka kichwani.
Kumbuka vitoto vichanga vilivyokufa baada ya kuzaliwa na ukimwi.
ARV zimefanya watu hatuogopi, tunapelekeana moto kibabe na uzuri ni kwamba wanaotumia dose vizuri, virusi vinafubaa, hawawezi kuambukiza kirahisi.
Zamani hufungishwi ndoa msikitini wala kanisani bila cheti cha majibu ya ukimwi.
Tumeteseka sana.
Tumepitia kipindi kigumu sana,
nakumbuka nikiwa O level dispensary ya shule sindano zinachemshwa kama Mayai, hakukuwa na disposable syringe, nesi akipitiwa mtashare hiyo sindano..
Kumbuka filamu za ukimwi za kutishana kama Neira ya Oliver Mtukudzi ukiangalia hata demu akikupa bure muda huo unakataa.
. Kumbuka wapendwa wetu waliokufa mifupa mitupu na nywele kunyonyoka kichwani.
Kumbuka vitoto vichanga vilivyokufa baada ya kuzaliwa na ukimwi.
ARV zimefanya watu hatuogopi, tunapelekeana moto kibabe na uzuri ni kwamba wanaotumia dose vizuri, virusi vinafubaa, hawawezi kuambukiza kirahisi.
Zamani hufungishwi ndoa msikitini wala kanisani bila cheti cha majibu ya ukimwi.
Tumeteseka sana.