Kama una miaka 30 na zaidi na bado unaishi maisha haya, basi wewe ni kubwa jinga

1. Hela ya vocha, kunyoa na kumpa demu wako bado unategemea upewe na baba au shemeji

2. Kula yako ni ya shikamoo baba au shemeji unasubiri msosi wa kengele

3. Huna mpango wa kupanga wala kujitegemea kwa kisingizio huna ajira

4. Ukiamka asubuhi break yako ya kwanza kijiweni kuzungumza habari za siasa au mpira mchana unarudi nyumbani unakula chakula cha kengele jioni unarudi tena kijiweni kwa washikaji unarudi nyumbani msosi wa kengele

5. Kurudi nyumbani unapangiwa muda wa kurudi ukichelewa zaidi unachapwa bakora au fimbo na baba na umri huoo

Haya aendeleeni wana JF DALILI ZINGINE
Naona mambo yameshakunyookea tayar, sasa ni muda wakutukana walio chini yako
 
Umeongea point sana, Mimi niliondoka nyumbani mapema sababu hakuna nafasi, sahivi na familia(mke na mtoto mmoja) sijajenga kwangu ila nimejenga nyumbani nyumba ndogo naimalizia kuezeka ili nipate nafasi nyumbani hata mke wangu akienda kusalimia awe comfortable baada ya hapo ndio ntadili na familia yangu.
Kuondoka au kutoondoka nyumbani ni swali gumu. Kwanza inatakiwa tujuwe mazingira halisi ya unapopaita nyumbani, hasa kipato na shughuli. Kuna wengine wako wako tu nyumbani kwa wazazi. Watu kama hao hawana chochote wanachochangia katika pato la familia. Wao ni kula na kulala. Mtu kama huyu maisha yake ya mbele hayajulikani. Mzazi wake akiondoka anapata shida. Mtu kama huyu anatakiwi ajiongeze mapema na aondoke nyumbani ili awahi kuanza kujitafutia na kujitegemea. Ikiwezekana aombe msaada kwa wazazi wa kuanzisha shughuli za kujitegemea.

Pia kuna wengine wanakaa kwao, lakini wanajishulisha na shughuli za kiuchumi za familia. Kama ni kilimo wapo, kama ni biashara pia wanasaidia. Mtu wa namna hii hana haja ya kuhama kwa sababu anajishughulisha, na ikibidi kuhama anahama ili aendeleze shughuli za biashara au kilimo kibinafsi.. Anataka uhuru toka kwa wazazi ili kufanya shughuli zake mwenyewe. Huyu kuhama kwake hupata baraka toka wazazi.

Mwiso, sikubaliana na mawazo ya wengine humu, kuwa kuongelea hili n kuwafuatilia. Kumbuka upende usipende kuna siku wazazi wako wataondoka. Sasa kama wewe unawategemea tu bila kujishughulisha, siku wakiondoka utaelekea wapi?
 
Kama una kazi unapaswa kupanga au kujenga kwako na uwe na miasha yako ya kujitegemea, achana na habari ya kung'ang'ania kwa wazazi kisa kuna nafasi na bado wanaweza kuendelea kukulea.
Kwanza, pamoja na kutuita kubwa jinga Mkuu. Tambua kwamba maisha ni kuchagua siyo lazima wote tuishi kama unavyotaka wewe. Hayo ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Pili, kama kila kitu kipo nyumbani kwanini mtu akateseke kwenda kupanga? Mateso ya kupanga ni makubwa sana wakati maisha ni haya haya. Kwanini ujitese? Au kujitesa ndiyo kunakufanya uonekane kidume?

Tatu, angalia maisha yako mkuu. Achana na maisha ya watu kabisa.
 
Mwanangu umeshambuliwa kinoma. Sema nini kuishi om ni ufala, unakuta msela na midevu yake kitambi kule likichelewa nyumbani linafungiwa geti. Dah

Unakuta msela anakwambia "mwanangu nawahi nyumban cunajua mshua akisharudi asiponikuta ataleta noma"

Wewe sio msela ..wewe ni pisi kali..

Bitter Truth
 
Mleta uzi nenda umeze diklopa au fansida upunguze maumivu ya hili shambulio la kigaidi.

Umeamua ukimbie ujifiche kabisa? au umejinyonga?
 
Mwanangu umeshambuliwa kinoma. Sema nini kuishi om ni ufala, unakuta msela na midevu yake kitambi kule likichelewa nyumbani linafungiwa geti. Dah

Unakuta msela anakwambia "mwanangu nawahi nyumban cunajua mshua akisharudi asiponikuta ataleta noma"

Wewe sio msela ..wewe ni pisi kali..
 
Omba yasikukute.....

Ni vema ukamshukuru MUNGU kwa kukupa uwezo wa kutafuta na ukapata ulichonacho. Lakini pia kukujalia uwezo wa kujitegemea.

Sio wote wanafanikiwa katika hilo kulingana na Sababu mbali mbali. Ni vema ukawa mpole na kuwaombea ila sio kuwakashifu kwa kuwaita wakubwa wajinga.
 
Kwanza, pamoja na kutuita kubwa jinga Mkuu. Tambua kwamba maisha ni kuchagua siyo lazima wote tuishi kama unavyotaka wewe. Hayo ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Pili, kama kila kitu kipo nyumbani kwanini mtu akateseke kwenda kupanga? Mateso ya kupanga ni makubwa sana wakati maisha ni haya haya. Kwanini ujitese? Au kujitesa ndiyo kunakufanya uonekane kidume?

Tatu, angalia maisha yako mkuu. Achana na maisha ya watu kabisa.

Ubarikiwe
 
Kwanza, pamoja na kutuita kubwa jinga Mkuu. Tambua kwamba maisha ni kuchagua siyo lazima wote tuishi kama unavyotaka wewe. Hayo ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Pili, kama kila kitu kipo nyumbani kwanini mtu akateseke kwenda kupanga? Mateso ya kupanga ni makubwa sana wakati maisha ni haya haya. Kwanini ujitese? Au kujitesa ndiyo kunakufanya uonekane kidume?

Tatu, angalia maisha yako mkuu. Achana na maisha ya watu kabisa.
Toto la mama iloo limetema nyongo
Braza toka nyumbani apo nenda kapange wewe ..ata geto la 10k kwa mwezi, baba ako angeendlea kukaa kwao wewe ungekuwa na kwenu?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
1. Hela ya vocha, kunyoa na kumpa demu wako bado unategemea upewe na baba au shemeji

2. Kula yako ni ya shikamoo baba au shemeji unasubiri msosi wa kengele

3. Huna mpango wa kupanga wala kujitegemea kwa kisingizio huna ajira

4. Ukiamka asubuhi break yako ya kwanza kijiweni kuzungumza habari za siasa au mpira mchana unarudi nyumbani unakula chakula cha kengele jioni unarudi tena kijiweni kwa washikaji unarudi nyumbani msosi wa kengele

5. Kurudi nyumbani unapangiwa muda wa kurudi ukichelewa zaidi unachapwa bakora au fimbo na baba na umri huoo

Haya aendeleeni wana JF DALILI ZINGINE
Acha hisia hizo.
Hata Yesu alirudi kwa baba na yupo kwa babake.
 
1. Hela ya vocha, kunyoa na kumpa demu wako bado unategemea upewe na baba au shemeji

2. Kula yako ni ya shikamoo baba au shemeji unasubiri msosi wa kengele

3. Huna mpango wa kupanga wala kujitegemea kwa kisingizio huna ajira

4. Ukiamka asubuhi break yako ya kwanza kijiweni kuzungumza habari za siasa au mpira mchana unarudi nyumbani unakula chakula cha kengele jioni unarudi tena kijiweni kwa washikaji unarudi nyumbani msosi wa kengele

5. Kurudi nyumbani unapangiwa muda wa kurudi ukichelewa zaidi unachapwa bakora au fimbo na baba na umri huoo

Haya aendeleeni wana JF DALILI ZINGINE
Dah....naishi kwa Shem....mwaka wa 24 huu....mbona life liko poa tu🤣🤣🤣🤭
 
Back
Top Bottom