Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Mimi naanza Kama ifuatavyo:
Mke:Mme wangu nikifariki utasubiri muda gani hadi
uowe mke mwengine?
Mme:Hadi udongo wa kaburi lako utapo kauka.
Mke:Unaniahidi hivyo??!!
Mme: akatabasamu akasema ndio.
Baada ya kufariki mke,
mme: akawa akiitembelea kaburi ya mkewe kila siku hadi mwaka ukakamilika kaburi ya mkewe bado
udongo ni mbichi hauja kauka!!!
Siku moja mme alipokwenda makaburini
jioni, akamkuta kaka wa mke wake-shemej makaburini akamuuliza:
Mme:Shemeji unafanya nini uku makaburini??
Shemeji:Natekeleza wosia niliopewa na dada yangu
kaniambia kila baada ya siku mbili niwe nauloweka
udongo wa kaburi lake kwa kuumwagia maji ndoo nne mpk sita za maji.
Mume akabaki hana lakusema.
(Hakika vitimbi vyao ni vikubwa wakiwa hai na wakiwa
wamefariki.).
Tupia cha kwako hpa.
Mke:Mme wangu nikifariki utasubiri muda gani hadi
uowe mke mwengine?
Mme:Hadi udongo wa kaburi lako utapo kauka.
Mke:Unaniahidi hivyo??!!
Mme: akatabasamu akasema ndio.
Baada ya kufariki mke,
mme: akawa akiitembelea kaburi ya mkewe kila siku hadi mwaka ukakamilika kaburi ya mkewe bado
udongo ni mbichi hauja kauka!!!
Siku moja mme alipokwenda makaburini
jioni, akamkuta kaka wa mke wake-shemej makaburini akamuuliza:
Mme:Shemeji unafanya nini uku makaburini??
Shemeji:Natekeleza wosia niliopewa na dada yangu
kaniambia kila baada ya siku mbili niwe nauloweka
udongo wa kaburi lake kwa kuumwagia maji ndoo nne mpk sita za maji.
Mume akabaki hana lakusema.
(Hakika vitimbi vyao ni vikubwa wakiwa hai na wakiwa
wamefariki.).
Tupia cha kwako hpa.