Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
Toyota Will
Toyota Porte
Toyota Sienta
Tuwasiliane haraka nahitaji gari ndogo aina hizo na tayari nmeweka bajeti ya Tsh Mil 5. Kuna watu wanaweza kuwa na shida ya haraka na hiyo pesa.
Nina gari kubwa nmeenda nayo mkoani lakini kila mara nakuja dar.nikiwa hapa nahitaj gari ndogo ya mizunguko ya town kwenye shughuli zangu. Za kukodi gharama yake inaweza kuwa kubwa zaidi after smetme.
Naomba mwenye hizo gari kuanzia namba C na isiwe imewah kupata ajali au kupigwa rangi. Aliye serious anambie nije dar tukamilishe mchakato. Ntamleta fundi wangu kukagua pia. Nawaomba waungwana tusaidiane.
WADAU NASHUKURU NIMEPATA GARI SIENTA KWA BEI NZURI. NASHUKURU KWA WALE MLIO KUWA WASTAARABU NA KUSHIRIKIANA NAMI NA WALE WANAOJIFANYA WAJUAJI WAMEENDELEA KUKALIA MISUMALI.... NIMEWATOSA BAHARINI WAMEZAMA KAMA JIWE. UNAJIFANYA MJUAJI UTATANDIKIA WATU JAMVI.
Toyota Porte
Toyota Sienta
Tuwasiliane haraka nahitaji gari ndogo aina hizo na tayari nmeweka bajeti ya Tsh Mil 5. Kuna watu wanaweza kuwa na shida ya haraka na hiyo pesa.
Nina gari kubwa nmeenda nayo mkoani lakini kila mara nakuja dar.nikiwa hapa nahitaj gari ndogo ya mizunguko ya town kwenye shughuli zangu. Za kukodi gharama yake inaweza kuwa kubwa zaidi after smetme.
Naomba mwenye hizo gari kuanzia namba C na isiwe imewah kupata ajali au kupigwa rangi. Aliye serious anambie nije dar tukamilishe mchakato. Ntamleta fundi wangu kukagua pia. Nawaomba waungwana tusaidiane.
WADAU NASHUKURU NIMEPATA GARI SIENTA KWA BEI NZURI. NASHUKURU KWA WALE MLIO KUWA WASTAARABU NA KUSHIRIKIANA NAMI NA WALE WANAOJIFANYA WAJUAJI WAMEENDELEA KUKALIA MISUMALI.... NIMEWATOSA BAHARINI WAMEZAMA KAMA JIWE. UNAJIFANYA MJUAJI UTATANDIKIA WATU JAMVI.