jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
Fikiria kabla ya kubwabwajaNashangaa sana kijana graduate una degree au diploma unashindwa kujiajiri wakati Tanzania fursa zipo nyingi sana za kujiajiri mashamba vijijini yamejaa hayana walimaji , biashara za kufanya zipo kila kona kuna watu wanaishi kwa kuuza maji tu vijana amkeni acheni kuzurura na vibahasha kutafuta kazi ambazo hazipo
[HASHTAG]#ajira[/HASHTAG] zingekua rahis maprofesa na madaktar wangejilimiaga tu na wewe usingekua unashinda jf.......hujiuliz kwann madkt wengi na pfors wameajiriwa???