Asante kwa kunipa mualiko wa pati ya kwenye boti, umeniamshaaa......
Am on and on japo kughairi kuko palepale teh teh teh teh....
Asante kwa kunipa mualiko wa pati ya kwenye boti, umeniamshaaa......
Am on and on japo kughairi kuko palepale teh teh teh teh....
What!! Hii ni leo ofisini.
Ina maana tunafanya kazi ofisi moja na huwa unanichora tu?
View attachment 1191587
Yaani weewee......
Dawa yako kukuwekea mziki non stop kuanzia saa nne usiku hadi saa kumi alfajiri hakuna kupumzika.
Hahahahahaha ubavu huo utautoa wapi?
😜😜😜
Kumbe hujayapata Matata ya Kasie eeehhh....
Wee subiri DJ aweke hiki kibao....
Na ukiomba poo namwambia DJ, please don't stop the music hadi saa kumi alfajiri...
Wakusamba kusamba makusa....
Wakusamba kusamba makusa....
Na huu pia utaucheza tuu hheheheheheheeh hapana tegea...
Break dancing akusema kusamba makusa...
Akusema kusamba makusa....
Akusema kusamba makusa...
Non stop till the balls fall hehehhee.
Na sitaki mwingine, mi nataka yeye tuu...
Tukidumbukia wote kwenye dimbwi la maji na kukaa umbali wa sifuri...
Macho yako yangu, pumzi yako yangu, ulacho nakimeza....
Nitake nini zaidi ya kusikilizia kumbato mwanana na kujificha kama katoto...
Ile ulinzi na joto nnalolipata kwenye kumbato, Maulana ndo anajua siukuzi bali ni uhalisia.
Ghafla nasikia sauti inapenya masikioni kwa lugha ya Mahaba ikisema....
Mi Amor es tuyo para siempre, mola mi vida.
Nikashikwa na kigugumizi Hata kujibu nikashindwa.... Mahaba haya.....
Love U Much D.
Matata K.
cuando era un niño pobre solÃa amar, tanto pero mira lo que el amor me ha hechoEl amor es como la música, bailas con los ritmos... Sólo Mira los pasos mientras bailas.
Kasinde.
venga la edad es solo un número ja, ja, jaoooh lo que pasa, por favor habla conmigo.... Soy una vieja abuelita podrÃa ayudar con un centavo de Consejo si no le importa...
puedo darte mi cvLo sé y estoy escuchando tu historia de amor...