Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kumbe uchawi mpaka wajue detail zako, na uchawi hauwezi kufanyika bila kua na hizo detail

Kama haiwezekani kupata detail kwa kutumia uchawi, sasa mbona vijiweni kuna stori mingi kua waganga wanaagua bila wewe kusema chochote wewe hii unaizungumziaje? Kwako mwalim kashasha

It's Scars

Waganga wanatumia details kama nguo za ndan , kucha, nywele, majina kamili na wengine hupiga ramli na kupata info zote za kitu au mtu anayemtaka.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kwenda Tanga kwa mara ya kwanza kufanya ushirikina, nilienda tu kwa kuwa Rafiki yangu alishaenda pia akafanikiwa mambo yake.

Kutokana na tatizo langu kuwa kubwa kiasi , mganga aliniambia natakiwa kufanya kafara ya mbuzi , Bahati nzuri nilikua na vijisenti, nitatoa kafara , nikafanyiwa visomo pamoja na mambo mengine mengi ya kishirikina

Kwa kweli nilikua Naona mambo ya ajabu kwa kuwa ushirikina nilikua nauona kwenye movie tu .

Basi baada ya kutoka Tanga nikarudi home , ndan Ya siku Tatu tu , haja yangu ile ile niliyoitaka ikaja kwa njia ya ajabu mno, nakumbuka usiku wa ile siku sikulala kabisa , nikawa nawaza kumbe uchawi upo ?

Basi toka miaka hiyo had leo maisha yangu ni ushirikina tu na sijawahi kujuta kwa kweli wala kutapeliwa, labda kwa kuwa mtu aliyenipeleka huko ni mshirikina sana na ameenda sehem nyingi so anajua mganga yupi mzuri.

Ila kitu kimoja ukishaingia kwenye ulimwengu wa giza, roho ya kibinadamu inakutoka, mtu akikuudhi kidogo tu unaweza hat kumdhuru au kumtoa roho kwa ushirikina

Ogopa sana kugombana na watu hovyo, wengine wana nguvu za kiroho , unajikuta unagombana nao, wao wanaenda kukumaliza kwenye ulimwengu wa roho , tena hawakuumizi wala nini, wanakuacha uishi ila kwenye ulimwengu wa roho wameshakuua, hat ufanye nini huwez kufanikiwa.





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umenitisha
Waganga wanatumia details kama nguo za ndan , kucha, nywele, majina kamili na wengine hupiga ramli na kupata info zote za kitu au mtu anayemtaka.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kwenda Tanga kwa mara ya kwanza kufanya ushirikina, nilienda tu kwa kuwa Rafiki yangu alishaenda pia akafanikiwa mambo yake.

Kutokana na tatizo langu kuwa kubwa kiasi , mganga aliniambia natakiwa kufanya kafara ya mbuzi , Bahati nzuri nilikua na vijisenti, nitatoa kafara , nikafanyiwa visomo pamoja na mambo mengine mengi ya kishirikina

Kwa kweli nilikua Naona mambo ya ajabu kwa kuwa ushirikina nilikua nauona kwenye movie tu .

Basi baada ya kutoka Tanga nikarudi home , ndan Ya siku Tatu tu , haja yangu ile ile niliyoitaka ikaja kwa njia ya ajabu mno, nakumbuka usiku wa ile siku sikulala kabisa , nikawa nawaza kumbe uchawi upo ?

Basi toka miaka hiyo had leo maisha yangu ni ushirikina tu na sijawahi kujuta kwa kweli wala kutapeliwa, labda kwa kuwa mtu aliyenipeleka huko ni mshirikina sana na ameenda sehem nyingi so anajua mganga yupi mzuri.

Ila kitu kimoja ukishaingia kwenye ulimwengu wa giza, roho ya kibinadamu inakutoka, mtu akikuudhi kidogo tu unaweza hat kumdhuru au kumtoa roho kwa ushirikina

Ogopa sana kugombana na watu hovyo, wengine wana nguvu za kiroho , unajikuta unagombana nao, wao wanaenda kukumaliza kwenye ulimwengu wa roho , tena hawakuumizi wala nini, wanakuacha uishi ila kwenye ulimwengu wa roho wameshakuua, hat ufanye nini huwez kufanikiwa.





Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi

Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri

Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma

Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muungurumo wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma

Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea

Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge

si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.

wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.

Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele

Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumiana "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
Jamn mbavu zangu, lkn ukatae ukubali matajiri wanapitia mapito mengi xn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikishapata experience kwa kushuhudia hata uje na makontena ya ngonjera sikusikilizi kamwe. Nimeshuhudia watu wanapigwa kipapai alafu mtu atoke uko aniambie hakuna uchawi, atahangaika sana.

Mimi nitajikinga tu na wabaya, hayo mambo ya kuongeza mvuto siyaamini lakini kwenye kudondoshana siwezi kubali unipoteze. Nitatafuta ngome ya kulipia na isiyo na complications. Na nitasali sana na kutoa sadaka. Ukinambia ni ushetani hayo unayajua wewe, kwani wapi Mungu alisema tupulize ubani. Mbona raia wanapuliza, wanavaa sare, wanafanya rituals za kidini.

Sidhani kama kuna mganga atanambia mkane Mungu nikupe dawa.
Samahan kwa kusema hili. Mkuu bado, ujawajua waganga, source ya nguvu zao.

Hayo maubani, manukatato nk, ukisoma bible utakutana nayo sana.

Incase hujawahi kujuzwa au unachukulia ni uongo. Wachawi na waganga ni kambi moja.
 
Daaahhhh aiseee hii imenitishaaa katika visa vyote kisa hiki ni nomaa
dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.

ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa.

Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba.

Nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake.

Basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.


Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha.

lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake, akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama


picha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahan kwa kusema hili. Mkuu bado, ujawajua waganga, source ya nguvu zao.

Hayo maubani, manukatato nk, ukisoma bible utakutana nayo sana.

Incase hujawahi kujuzwa au unachukulia ni uongo. Wachawi na waganga ni kambi moja.
Ile ni teknolojia ya kale. Uchawi na uganga unatumika pia kutambua magonjwa yaliyoshindikana hospitalini. Kuhusu kuroga hiyo ni matumizi mabaya ya uchawi. Kama unavyoona ndezi wanawauzia mafuta waumini mazwazwa. Manabii wa uongo wasikufanye udai kuwa manabii wote ni kanjanja.
 
Ndio maana wanao kutukana hapa Jf huwa unawachek tuu na kujisemea kimoyo moyo nyie watoto wadogo bado hamjayajua maisha
Waganga wanatumia details kama nguo za ndan , kucha, nywele, majina kamili na wengine hupiga ramli na kupata info zote za kitu au mtu anayemtaka.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kwenda Tanga kwa mara ya kwanza kufanya ushirikina, nilienda tu kwa kuwa Rafiki yangu alishaenda pia akafanikiwa mambo yake.

Kutokana na tatizo langu kuwa kubwa kiasi , mganga aliniambia natakiwa kufanya kafara ya mbuzi , Bahati nzuri nilikua na vijisenti, nitatoa kafara , nikafanyiwa visomo pamoja na mambo mengine mengi ya kishirikina

Kwa kweli nilikua Naona mambo ya ajabu kwa kuwa ushirikina nilikua nauona kwenye movie tu .

Basi baada ya kutoka Tanga nikarudi home , ndan Ya siku Tatu tu , haja yangu ile ile niliyoitaka ikaja kwa njia ya ajabu mno, nakumbuka usiku wa ile siku sikulala kabisa , nikawa nawaza kumbe uchawi upo ?

Basi toka miaka hiyo had leo maisha yangu ni ushirikina tu na sijawahi kujuta kwa kweli wala kutapeliwa, labda kwa kuwa mtu aliyenipeleka huko ni mshirikina sana na ameenda sehem nyingi so anajua mganga yupi mzuri.

Ila kitu kimoja ukishaingia kwenye ulimwengu wa giza, roho ya kibinadamu inakutoka, mtu akikuudhi kidogo tu unaweza hat kumdhuru au kumtoa roho kwa ushirikina

Ogopa sana kugombana na watu hovyo, wengine wana nguvu za kiroho , unajikuta unagombana nao, wao wanaenda kukumaliza kwenye ulimwengu wa roho , tena hawakuumizi wala nini, wanakuacha uishi ila kwenye ulimwengu wa roho wameshakuua, hat ufanye nini huwez kufanikiwa.





Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
et hata ufanye nn uwezi kufanikiwa!! YESU anafungua, hakuna uchawi kumzidi yeye...
Waganga wanatumia details kama nguo za ndan , kucha, nywele, majina kamili na wengine hupiga ramli na kupata info zote za kitu au mtu anayemtaka.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kwenda Tanga kwa mara ya kwanza kufanya ushirikina, nilienda tu kwa kuwa Rafiki yangu alishaenda pia akafanikiwa mambo yake.

Kutokana na tatizo langu kuwa kubwa kiasi , mganga aliniambia natakiwa kufanya kafara ya mbuzi , Bahati nzuri nilikua na vijisenti, nitatoa kafara , nikafanyiwa visomo pamoja na mambo mengine mengi ya kishirikina

Kwa kweli nilikua Naona mambo ya ajabu kwa kuwa ushirikina nilikua nauona kwenye movie tu .

Basi baada ya kutoka Tanga nikarudi home , ndan Ya siku Tatu tu , haja yangu ile ile niliyoitaka ikaja kwa njia ya ajabu mno, nakumbuka usiku wa ile siku sikulala kabisa , nikawa nawaza kumbe uchawi upo ?

Basi toka miaka hiyo had leo maisha yangu ni ushirikina tu na sijawahi kujuta kwa kweli wala kutapeliwa, labda kwa kuwa mtu aliyenipeleka huko ni mshirikina sana na ameenda sehem nyingi so anajua mganga yupi mzuri.

Ila kitu kimoja ukishaingia kwenye ulimwengu wa giza, roho ya kibinadamu inakutoka, mtu akikuudhi kidogo tu unaweza hat kumdhuru au kumtoa roho kwa ushirikina

Ogopa sana kugombana na watu hovyo, wengine wana nguvu za kiroho , unajikuta unagombana nao, wao wanaenda kukumaliza kwenye ulimwengu wa roho , tena hawakuumizi wala nini, wanakuacha uishi ila kwenye ulimwengu wa roho wameshakuua, hat ufanye nini huwez kufanikiwa.





Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waganga wanatumia details kama nguo za ndan , kucha, nywele, majina kamili na wengine hupiga ramli na kupata info zote za kitu au mtu anayemtaka.

Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kwenda Tanga kwa mara ya kwanza kufanya ushirikina, nilienda tu kwa kuwa Rafiki yangu alishaenda pia akafanikiwa mambo yake.

Kutokana na tatizo langu kuwa kubwa kiasi , mganga aliniambia natakiwa kufanya kafara ya mbuzi , Bahati nzuri nilikua na vijisenti, nitatoa kafara , nikafanyiwa visomo pamoja na mambo mengine mengi ya kishirikina

Kwa kweli nilikua Naona mambo ya ajabu kwa kuwa ushirikina nilikua nauona kwenye movie tu .

Basi baada ya kutoka Tanga nikarudi home , ndan Ya siku Tatu tu , haja yangu ile ile niliyoitaka ikaja kwa njia ya ajabu mno, nakumbuka usiku wa ile siku sikulala kabisa , nikawa nawaza kumbe uchawi upo ?

Basi toka miaka hiyo had leo maisha yangu ni ushirikina tu na sijawahi kujuta kwa kweli wala kutapeliwa, labda kwa kuwa mtu aliyenipeleka huko ni mshirikina sana na ameenda sehem nyingi so anajua mganga yupi mzuri.

Ila kitu kimoja ukishaingia kwenye ulimwengu wa giza, roho ya kibinadamu inakutoka, mtu akikuudhi kidogo tu unaweza hat kumdhuru au kumtoa roho kwa ushirikina

Ogopa sana kugombana na watu hovyo, wengine wana nguvu za kiroho , unajikuta unagombana nao, wao wanaenda kukumaliza kwenye ulimwengu wa roho , tena hawakuumizi wala nini, wanakuacha uishi ila kwenye ulimwengu wa roho wameshakuua, hat ufanye nini huwez kufanikiwa.





Sent from my iPhone using JamiiForums
....wakisha kuua katika ulimwengu wa kiroho-...hakuna njia ya kujinasua ?!...just curious to know

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajumanne amaizing hivi hakuna karaha wala nini. Kama kawaida yangu hupenda kufukua mambo yasiyopendwa kuongelewa sana humu ila ndo yanayofanyika sana kwenye jamii zetu.
  • Je, umejizindika? Una kinga ya kutosha maana yule jamaa sio mchezo.
  • Hii gari ukiiba utarudisha mwenyewe
  • Mimi atakayejaribu kuniroga aandae kaburi tu, mimi sijaribiwi kabisa. Kwetu nimeaga ukijaribu unakwenda na maji.
  • Ninalindwa na mizimu atakayejaribu atashindwa hapa vinadunda tu.
  • Hii biashara yangu watu waliichezea sana nilipozindika tu sahv biashara inaenda vizuri mwanzo hela zilikua zinapotea tu dukani.
  • Nimezindika biashara yangu dhidi ya chumaulete. Sasa na wewe utafanyaje biashara kienyeji enyeji tu hapa mjini bila kuizindika na wewe? Unawajua waswahili wewe au unawasikia? Siri ya mafanikio biashara lazima uzizindike bila hivyo hakuna utakachokifanya.
Hayo ni maneno ya watu wengi I mean maneno ya mtaani na watu kuhusu suala la kujizindika au kuzindika biashara.

Swali kwa wewe mwanaJF mwenzangu:

Je na wewe umejizindika? Au unaishi kienyeji kama mimi tu? Tuseme ukweli!
Je, nyie wenye biashara humu tusaidianeje? Umezindika biashara yako hapa mjini?
Je, dhana ya kuzindika biashara ipo?
Usipozindika biashara je?
Je, ni kweli biashara hapa mjini bila hata kamzizi au jani haziendi?
Ushawahi kuexprince nini kuhusu haya mambo?

Nitakuja kuwapa kisa kimoja hivi soon.

Sent using Jamii Forums mobile app
naomba shea hicho kisa nikisome
 
Back
Top Bottom