Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Jifunze kuandika vizuri Mkuu
Ndugu yangu mmoja alipata kaz kwa mmama wa kihindi kama msaidizi wa kazii za ndani, amefanyakaz takriban mwaka mmoja ivi lakini alijikuta anacha kazii kwa hichi alichonisimulia.

Boss alikuwa na uwezo wa kipesa akiwa mwenyewe na watoto wake wawili mdogo wa kiume mkubwa wa kike umri kadiria apo darasa laa tatu

Bosi buana sebuleni kunasehemu alipatenga kwa ajili ya kufanyia ibada zakee, sehem hiyo kuliwa na na kasanamu kadogo tu ivi mwenyewe kazungushia maua na vitu mbalimbali kila siku asubuh lazma akakipigie magoti kale kasanamu

Wakati ndugu akiwaza sikuu anaacha kazii akakiibe kale kasanamuu kutokana na uzuri wake hiki ndicho alichokishuhudia kabla.

Sikuu moja buana ndugu yupoo jikoni mtoto wa bosi yupo sebuleni yule dogo wa mwisho yupo chumba cha juuu kalala sijui dogo buana alifata ninii kwenye kale kasamu ghafla ndugu anasikia makelele ya dogo na kishindo kizito kutoka kwenda kuchungulia e bhana we kalikuta bongeee LA jituu jeusi limesimama linahasira ndugu kuangalia vizuri kumbe ni kale kasanamu kameumuka
Ndugu wacha aanze kupiga kelele kumbe wanavyooiga kelele ndivyo wanavyomoandisha mori lillee jitu lilikuwa linabeba makochi tupa kule TV tupa kulee fujoo fujooo ndugu na uoaga wake woteee ilibidi amchukue yule dogo fastaaa kimbialia chumbaa cha juuu kwenda kumchukua yuleee dogooo alieeelalaa kuanza kupigaaa makelele dirishani bahat nzur kulikuwa na mlinzi sasa mlinz anasikia vishindooo jumba linmtetemeko

Ikabidi aingiee ndaniii buana ajamalizia kufungua mlango machoo kwa machoo na lileee jituu unaambiwa mlinzi akuuuliza aligeuzaaaa peku pekuuu uyoooo kishadaaaaa mbiooo ataaaa msaaada hakutoaaa.. Sasa ndugu yangu ikabidi ajitutumue atafute njia ya kutokaaa baahat nzur alipata upenyo mlangoniii akakimbia kuelekeea njeeee akiliacha nyumaaa lilee jitu likifanyaaa vurugu ndaniiii..

Sasa ndugu ananambia kumbeee mlinziii alivyotoka njeeee ya getiii alikuwa anaulizwa na majirani ninii kinaendelea yeye kakazana kuondoka akidai natolewa sadaka ghafla majirani wanamuona ndugu huyooo rafurafu yeyeee madogo woteeee wanalia ndio kuanza kuwaambia ndiyo yule maza kupigiwa simuu, yuleee maza alichokijibu nikuwasisitiza wasingie ndaniii anakujaaa haraka sanaaaa kuanza kuwaulizia watotooo amesshatoka nao njeeee...

Bosii alivyoo rudiiii direct aingia ndaniii ndugu akiwa nyumaaa yaaaani bosiii angechelewa angemkuta njeeee kwa alichonisimulia huyu ndugu bahati nzuri alimkuta mlangoni anataka kutokeza njeeee. Cha kushangaza alivyomfikia akazungumzaa nae maneno kadhaaaa ghafla kutoka kkuwa lijitu li kubwaaa limerudi kuwa kisanamu akakibeba na kukirudisha mahala pakeeee.

Bila kuchelewa Kesho yakeeee ndugu akamuagaaa bosi kuwa maza anaumwa kumbe ndiyoo giaaa ya kuamsha ndugu ananambia at a helaaa hakudaiiii ananambia alikuwa anaomba pakucheee tuuu uyoo aondoke, tokea aondoke na lainnn akabadilisha.


Alivyorud nyumban baada ya sikuuu kazaaa iviii akampigia yule mfanyakaz mwenzake mlinz kumuuliza akasema ajawah ataaa kudai pesa yakeee hajawa ataaa kurudi kiufi kibarua kilishia happoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo mmoja alikuwa anasoma shule X siku moja akaamka kwenda kukojoa toka kwenye kitanda cha bweni lake mpaka chooni, choo kilikuwa kwa nje .. Kakojoa na usingizi machoni ile anarudi kitandani anajikuta amelala yaani anamkuta mtu kavaa kama yeye na ana sura kama yeye amelala kitandani ...kelele zake ziliamsha bweni zima however kila akimsimulia mtu hakuna aliyeamini, alihama yule dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo mmoja alikuwa anasoma shule X siku moja akaamka kwenda kukojoa toka kwenye kitanda cha bweni lake mpaka chooni, choo kilikuwa kwa nje .. Kakojoa na usingizi machoni ile anarudi kitandani anajikuta amelala yaani anamkuta mtu kavaa kama yeye na ana sura kama yeye amelala kitandani ...kelele zake ziliamsha bweni zima however kila akimsimulia mtu hakuna aliyeamini, alihama yule dogo

Sent using Jamii Forums mobile app



😀😀😀😀dah ila wachawi wanavituko sometime.
 
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hueleweki.
 
Nakumbuka mwaka 1997 nikiwa bado chalii katika shule x mkoani dar es salaam kulikua na vyoo vya shule ukienda chooni kugonga mlango wa choo unasikia sauti ya mwanamke subiri na mvalisha mwanangu nepi
Mpaka sasa kuna mauzauza ila sio sana kama zamani .

Mwaka 2018 hapo hapo maeneo ya shule x Kuna chalii wangu mpaka sasa yupo kama kadata hivi alikutana na mwanamke jini kwakupenda totoz sana nitakuja na story yake.

Pia maeneo hayo ya shule kuna mbuyu wafungwa walikuja kukata kilicho wakuta mpaka leo mbuyu upo ila wafungwa wamekufa .

Nimepitia mauzauza mengi mno
Nakumbuka mwaka 2009 usiku wa mwezi wa ramadhani nikiwa mzima wa afya tele majira ya saa 7 usiku nilishtuka dogo ananishtua tukale daku nikanyanyuka nasogea mpaka sebureni ambapo palikuwa na mwanga mkali wa taa aisee ndugu wananishanga upande wa mwili wangu umepakwa unga chakushangaza zaidi ni kuwa alama za vidole vya mkono vilivyoshika unga vikionekana vipo kifuani ( kumbuka dar es salam kulala kifua wazi ni kawaida) basi kwakua ni siku ya mwezi wa ramadhani kama tunavyo amini ibilisi na washirika wake ufungiwa nikajifutafuta kwa kujiamini ndio tatizo likaanza hapo mkono na mguu wa upande nilio pakwa unga unga nikalemaaaa hapo hapo ndugu wakaanza kulia usiku mpaka pana kucha aisee
Mungu ni mwema



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka mwaka 1997 nikiwa bado chalii katika shule x mkoani dar es salaam kulikua na vyoo vya shule ukienda chooni kugonga mlango wa choo unasikia sauti ya mwanamke subiri na mvalisha mwanangu nepi
Mpaka sasa kuna mauzauza ila sio sana kama zamani .

Mwaka 2018 hapo hapo maeneo ya shule x Kuna chalii wangu mpaka sasa yupo kama kadata hivi alikutana na mwanamke jini kwakupenda totoz sana nitakuja na story yake.

Pia maeneo hayo ya shule kuna mbuyu wafungwa walikuja kukata kilicho wakuta mpaka leo mbuyu upo ila wafungwa wamekufa .

Nimepitia mauzauza mengi mno
Nakumbuka mwaka 2009 usiku wa mwezi wa ramadhani nikiwa mzima wa afya tele majira ya saa 7 usiku nilishtuka dogo ananishtua tukale daku nikanyanyuka nasogea mpaka sebureni ambapo palikuwa na mwanga mkali wa taa aisee ndugu wananishanga upande wa mwili wangu umepakwa unga chakushangaza zaidi ni kuwa alama za vidole vya mkono vilivyoshika unga vikionekana vipo kifuani ( kumbuka dar es salam kulala kifua wazi ni kawaida) basi kwakua ni siku ya mwezi wa ramadhani kama tunavyo amini ibilisi na washirika wake ufungiwa nikajifutafuta kwa kujiamini ndio tatizo likaanza hapo mkono na mguu wa upande nilio pakwa unga unga nikalemaaaa hapo hapo ndugu wakaanza kulia usiku mpaka pana kucha aisee
Mungu ni mwema



Sent using Jamii Forums mobile app
POLE baada ya kupooza ghafla ulipona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka mwaka 1997 nikiwa bado chalii katika shule x mkoani dar es salaam kulikua na vyoo vya shule ukienda chooni kugonga mlango wa choo unasikia sauti ya mwanamke subiri na mvalisha mwanangu nepi
Mpaka sasa kuna mauzauza ila sio sana kama zamani .

Mwaka 2018 hapo hapo maeneo ya shule x Kuna chalii wangu mpaka sasa yupo kama kadata hivi alikutana na mwanamke jini kwakupenda totoz sana nitakuja na story yake.

Pia maeneo hayo ya shule kuna mbuyu wafungwa walikuja kukata kilicho wakuta mpaka leo mbuyu upo ila wafungwa wamekufa .

Nimepitia mauzauza mengi mno
Nakumbuka mwaka 2009 usiku wa mwezi wa ramadhani nikiwa mzima wa afya tele majira ya saa 7 usiku nilishtuka dogo ananishtua tukale daku nikanyanyuka nasogea mpaka sebureni ambapo palikuwa na mwanga mkali wa taa aisee ndugu wananishanga upande wa mwili wangu umepakwa unga chakushangaza zaidi ni kuwa alama za vidole vya mkono vilivyoshika unga vikionekana vipo kifuani ( kumbuka dar es salam kulala kifua wazi ni kawaida) basi kwakua ni siku ya mwezi wa ramadhani kama tunavyo amini ibilisi na washirika wake ufungiwa nikajifutafuta kwa kujiamini ndio tatizo likaanza hapo mkono na mguu wa upande nilio pakwa unga unga nikalemaaaa hapo hapo ndugu wakaanza kulia usiku mpaka pana kucha aisee
Mungu ni mwema



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya ramadhan hua ikoje mm mwenyewe kuna mama tulikorofishana kwenye maswala ya biashara akaniambiaga nimuombe msamaha kabla ya ramadhan la sivyo nitakiona.....mimi nikapotezea maana nikaona sina kosa ananiletea ubabe tu ishu siku inaanza ramadhani siku ya kwanza kabisa hali ikaanza kubadilika baadae nikawa kama kichaa ila uzuri nilikuja kukaa sawa baada ya maombi ila ilichukua kama mwaka mzima
 
Hii ya ramadhan hua ikoje mm mwenyewe kuna mama tulikorofishana kwenye maswala ya biashara akaniambiaga nimuombe msamaha kabla ya ramadhan la sivyo nitakiona.....mimi nikapotezea maana nikaona sina kosa ananiletea ubabe tu ishu siku inaanza ramadhani siku ya kwanza kabisa hali ikaanza kubadilika baadae nikawa kama kichaa ila uzuri nilikuja kukaa sawa baada ya maombi ila ilichukua kama mwaka mzima
Mkuu haya mambo ni hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuleni nyama acheni upoyoyo
Hapo Kunduchi kuna ng'ombe zipo zinajifuga zenyewe na kuna siku nimetoka zangu kwenye mishe zangu saa nane kasoro ivi napishana na ng'ombe inaenda home aisee. Na hizo ng'ombe mtu hazigusi maana zinahusishwa na kusomewa albadiri kwa sababu inasemekana ziliibiwa kumbe zilipotea zenyewe kwa hiyo atakayezichukua cha moto kitampata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikuta nacheka dah!!!
Me mpaka leo huwa nikikumbuka huwa machozi yanakaribia kunilenga ilikuwa hv cku hiyo ilikuwa jmosi huwa ni siku ya mnada ilikuwa mida ya saa 2 kasoro kulikuwa na mbalamwezi imeangaza sana kiasi cha kuweza kumjua mtu ambaye yupo umbali wa 50m ile ya kama jua la saa 4-5 hv tupo watatu kuna sehemu tumeagizwa na wazee kwenda kuchukua mzigo wake kwaajili ya safari ya kesho yake basi tupo na story zetu na kuna njia tuliikwepa ambayo ni shortcut kwa sababu hzo hzo huko kuna miti mikubwa imeshona sana na makazi yako mbali basi tupo na story zetu kuna barabara ni pana tu wala haina miti pako plain kabisa mara kwa mbali tukahisi harufu kama mtu anajisaidia haja kubwa na tukaona kama kuna mtu amechuchumaa mbele na tukaona kitu cheupe kama shuka lililokunjwa kwakuwa ilikuwa kiangazi na cku ya mnada tukajua mtu kanunua mifuko anaenda kuhifadhia mazao lakn kadiri tunasogea harufu inaongezeka tena kali zaidi ikabidi tupunguze mwendo lakn mtu huyo hakunyanyuka mpaka tukafika kama hatua 15-20 ndipo hali ikabadilika na kuwa joto la hatari sana niliskia mwili unasisimka ghafla ni kama upepo flani kitendo cha haraka sana tulikuwa mbele ya kitu kirefu sana na kuona kama giza mbele aiseeee tuligeuza kwa speed ya hatari sana niliwaambia wenzangu tunakufa ila mmoja cjui aligeuza saa ngapi maana kitendo cha kugeuka ashasepa huyu niliyebaki nae alikuwa mfupi nilimshika kwenye mkanda kiunoni tulikimbia jamaa akawa hagusi chini vzr tulikimbia mpaka barabara kubwa tukakutana na watu wanatoka mnadani walituuliza maswali lakn hakuna aliyeweza kuwajibu midomo ilikuwa na kigugumizi sana uzuri walitujua wakatupeleka nyumbani maana tulikuwa tunatetemeka sana hakuna aliyeweza kuhadithia chochote zaidi ya kutokwa machozi wote hadi kesho yake ndio tuliweza kueleza nini kilitukumba ila siku hiyo mzee aliogopa sana sitakuja kusahau kamwe labda lije litokee lingine zaidi ya hilo but namwomba Mungu aniepushie mbali

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom