Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,589
- 20,898
Some how littly i believe you, hasa wale wanaopata comma,ikaunganika na faint hapa huwa viungo vinafanya kazi in a very low heart pulse huwa na interval ndefu,hapa daktari akiwa na papara unapigwa kwenye freezer dadek....Kiranga, acha kujishusha hata kama mtu, amezikwa akiwa mzima, kuna uwezekano wa kujitoa yeye mwenyewe, kaburini. Kwa dongo lile linawekwa pale, kwa Wakristo mtu huzikwa ndani ya jeneza.
Sent using Jamii Forums mobile app