Kama umewahi kuombwa pesa wakati wa kusex basi jua kuwa ulikutana na jini

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Umewahi kunyonywa mpaka ukapiga kelele?
Mtoto anakuuliza 'kuna vitu 3 viko tayari kwaajili yako, maji ya kuoga, chakula na Mimi mwenyewe' ungependa uanze na kipi'?
Jamani kuna mademu wanaweza kusababisha mtu aoe mitala bila kutarajia.
Mtoto hata kukuomba pesa hajui, wewe ndo unamuonea huruma anavyokuhangaikia unaamua kumpa mshiko.
Kama umewahi kuombwa pesa wakati wa Ku do basi ujue kuwa ulikutana na jini.
 
Hii mbinu naichukua aseee!

I be like 'Laaziz kuna vitu vitatu viko tayari kwa ajili yako....maji ya kuoga,chakula na mimi mwenyewe' hapo naongea kwa sauti ile kama nimebanwa na mafua hivi

Shukurani sana mkuu!!​
 
Umewahi kunyonywa mpaka ukapiga kelele?
Mtoto anakuuliza 'kuna vitu 3 viko tayari kwaajili yako, maji ya kuoga, chakula na Mimi mwenyewe' ungependa uanze na kipi'?
Jamani kuna mademu wanaweza kusababisha mtu aoe mitala bila kutarajia.
Mtoto hata kukuomba pesa hajui, wewe ndo unamuonea huruma anavyokuhangaikia unaamua kumpa mshiko.
Kama umewahi kuombwa pesa wakati wa Ku do basi ujue kuwa ulikutana na jini.
Pole sana
 
Hii mbinu naichukua aseee!

I be like 'Laaziz kuna vitu vitatu viko tayari kwa ajili yako....maji ya kuoga,chakula na mimi mwenyewe' hapo naongea kwa sauti ile kama nimebanwa na mafua hivi

Shukurani sana mkuu!!​
Hatari sana hiyo mbinu
 
Tukapeana utamu mwanzo mpk mwisho kisha tukala tukanywa tukalala

asubuhi tumeamka nikampeleka hadi alipotaka nikamuacha hapo nikasepa

dk 5 hazijaisha nikapokea msg "jamani babe umeniacha kihasara hasara leo"

nikamuuliza,kivipi?

AKAJIBU,yani mambo yote yale hata kuniachia hela kidogo love?

nikamuuliza, Ya nini, kwani ullfanya ili nikulipe? Kimya

Nikamwambia,kama unataka show ya kulipana next week end tukutane tena

maan nilicheza fair play nikiamini (we are making love) sasa kama unataka malipo

next friday sio mbali, Hakujibu ile msg yangu namimi sikumtafuta milele na milele.
Wewe ndiye kidume, kidume sio kupiga bao nyingi bali kuwa na misimamo thabiti.
 
Hii mbinu naichukua aseee!

I be like 'Laaziz kuna vitu vitatu viko tayari kwa ajili yako....maji ya kuoga,chakula na mimi mwenyewe' hapo naongea kwa sauti ile kama nimebanwa na mafua hivi

Shukurani sana mkuu!!​
Bby umenitoneshaa kidondaa umeendelea kuninyang'ninyisha
 
Babe hilo neno nililobold hapo mwisho nimejitahidi weeeeee lakini nimeshindwa kabisa kuelewa maana yake
Bebi wangu usijali nilimaanisha niko nyang'anyang'aaaaaa 🥰🥰🥰🥰 hoi baada ya kuona maandishi yakooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom