Kama umesoma masters degree pitia hapa

Naenda kasome tu. Kigumu ni research na hyo Mara nyingi huwa nasema unapofanya research unapaswa kujiandaa kisaikolojia pia manake unaweza ukaandika vitu hadi ukajisifu mwenyewe halafu ukaenda kwa supervisor akakwambia hakuna chochote cha maana ulichoandika. Au umemaliza kila kitu na supervisor wako siku ya kufanya defence ya kazi yako kwenye panel ukaambiwa kazi yako yote ni hakuna kitu hapo jasho litakutoka,utakata tamaa na kuikumbuka hela yako ya ada kabla mambo hayajarudi kwenye mstari na hatimae kumaliza vizuri kabisa. Coursework siyo ngumu ila ni sumbufu. Manake kuna assignments, tests na UE. Hata kama huna idea na research nenda utaenda kuipata hukohuko na utaendana nayo vizuri na utamaliza kama wengine wengi walomaliza na wataomaliza.
shukran sana kwa upembuzi yakinifu wenye kueleza uhalisia,changamoto na mwisho kutia matumaini na kuondoa hofu
 
masters degree za kibongo wafanye walimu wa vyuo tu.. maana wao wanahitaji sana vyeti vingi..
kina sisi degree inatosha sana..
mama lishe wa voda hana hata masters.. kina twissa hawana hizo masters ila wanalipwa mamilioni na wananunuliwa kila siku
Kila ninapofika hapa huwa ninachoka kabisa lakini mwisho nakubali matokeo. Academicians need a well grounded master's degree lakini hiyo haifuti kabisa ukweli kwamba hata wale wanaokaa maofisini wanahitaji pia elimu ya master's ya kiwango cha juu.ili tuwe na competent and well grounded personnel. So mwanangu we tafuta tu chaka ukafanye master's degree nzuri
Habari!
Ningependa kupata uzoefu kiujumla kwa wadau ambao mmeshasoma au mnasoma masters degree.
mkuu una mpango wa kufanya master's degree ipi?

Na yapi ni malengo yako?
 
Uzi umekua mtaamu huu, Maana najiandaa kuchukua masters 2019 January mpaka December full time, itakua ni intensive 1 year na ni course work first na dissertation. Kwahiyo nimepata moja mbili humu
 
Kwa upande wangu,

Bachelor ni mshike mshike aisee, kama umetoboa vizuri Bachelor basi Masters ni mteremko, shida tu utakutana nayo kwenye Reasearch Thesis. (Ila kama umefanya LLB, hata research utatoboa tu)

Degree hua mtu unakua umetoka high school, kichwa bado kimezoea maswala ya masomo machache unakuja kukutana na mabalaa mapya ya masomo ambayo hujawahi hata kuyasikia mengine. Inabidi ukiseti kichwa upya.

Masters unaingia kwa undani zaidi maswala uliosoma kwenye Degree yako, picha halisi unayo tayari kichwani.
Nadhani hili ni la msingi zaidi, kuna watu nlifanya nao interview za chuo waliachwa kwa sababu bachelor's degree walisoma kitu tofauti na kile wanachotaka kujiendeleza, maana maswali mengine ilikua ni jinsi utavyounganisha ujuzi wa degree hizo mbili katika profession yako, na kipi hukusoma kwenye ya mwanzo unategeme ukipate katika ya pili.
 
Naenda kasome tu. Kigumu ni research na hyo Mara nyingi huwa nasema unapofanya research unapaswa kujiandaa kisaikolojia pia manake unaweza ukaandika vitu hadi ukajisifu mwenyewe halafu ukaenda kwa supervisor akakwambia hakuna chochote cha maana ulichoandika. Au umemaliza kila kitu na supervisor wako siku ya kufanya defence ya kazi yako kwenye panel ukaambiwa kazi yako yote ni hakuna kitu hapo jasho litakutoka,utakata tamaa na kuikumbuka hela yako ya ada kabla mambo hayajarudi kwenye mstari na hatimae kumaliza vizuri kabisa. Coursework siyo ngumu ila ni sumbufu. Manake kuna assignments, tests na UE. Hata kama huna idea na research nenda utaenda kuipata hukohuko na utaendana nayo vizuri na utamaliza kama wengine wengi walomaliza na wataomaliza.
Haaaaahaaa Haaaaahaaa...
IMG-20180917-WA0050.jpg
 
Naenda kasome tu. Kigumu ni research na hyo Mara nyingi huwa nasema unapofanya research unapaswa kujiandaa kisaikolojia pia manake unaweza ukaandika vitu hadi ukajisifu mwenyewe halafu ukaenda kwa supervisor akakwambia hakuna chochote cha maana ulichoandika. Au umemaliza kila kitu na supervisor wako siku ya kufanya defence ya kazi yako kwenye panel ukaambiwa kazi yako yote ni hakuna kitu hapo jasho litakutoka,utakata tamaa na kuikumbuka hela yako ya ada kabla mambo hayajarudi kwenye mstari na hatimae kumaliza vizuri kabisa. Coursework siyo ngumu ila ni sumbufu. Manake kuna assignments, tests na UE. Hata kama huna idea na research nenda utaenda kuipata hukohuko na utaendana nayo vizuri na utamaliza kama wengine wengi walomaliza na wataomaliza.
Kuna chuo kimoja juzi tu wametoa matokeo y dissertation. Yaani baada ya supervisors kupitisha hizo dissertation inabidi ziende kwa external examiners. Sasa zimetoka kwa external examininer nimekuta watu wengi wamefeli. Sasa nikajiuliza inamaana supervisors waliopitisha inakuaje. Na hata hao waliofaulu inabidi pia waende stage ya mwisho ambayo ni ya ku defend. Dah hii ndio bongo
 
Kuna chuo kimoja juzi tu wametoa matokeo y dissertation. Yaani baada ya supervisors kupitisha hizo dissertation inabidi ziende kwa external examiners. Sasa zimetoka kwa external examininer nimekuta watu wengi wamefeli. Sasa nikajiuliza inamaana supervisors waliopitisha inakuaje. Na hata hao waliofaulu inabidi pia waende stage ya mwisho ambayo ni ya ku defend. Dah hii ndio bongo
Duh!
 
Ndio mkuu. Yaani ni noma. Yaani supervisors wanaangalia mpaka plagiarization, wanasema ipo okay. Inaenda kwa external examiner anaikataa.
Mbaya zaidi wamepewa tena miezi 6 ku submit upya. Sasa inaluwa kama kukomoana
 
Master's degree ni rahisi kuliko bachelor degree kwa sababu hakuna kumeza (cramming), ina bidi uelewe kila kitu unachokisoma kwa mapana zaidi uweze kukifafanua, kuchambua pamoja na kutoa mifano halisi katika kila point. Kitu ambacho kinakujenga kuweza kujenga hoja na kuichambua kwa mifano halisi hasa kwa mtaani na kazini.

Ni vyema kuwa unapochagua title uchague ambayo ipo current, vitabu vipo na hata researcher mbalimbali duniani angalau wamegusia ili ikusaidie katika litereture review na kujua research gap. Ni vyema dissartation yako ukaifanya wewe mwenyewe ukisaidiana na supervisor wako ili kukujengea uwezo wa kujiamini utakaporudi kazini au mtaani.

Kama una bachelor degree na bado hujafanya masters, amua sasa na ujiunge.
Masters ni rahisi sana tofauti na unavyosikia watu wanavyoizungumzia as long as utaaamua kupambana na kuongeza juhudi katika course yako
 
Master's degree ni rahisi kuliko bachelor degree kwa sababu hakuna kumeza (cramming), ina bidi uelewe kila kitu unachokisoma kwa mapana zaidi uweze kukifafanua, kuchambua pamoja na kutoa mifano halisi katika kila point. Kitu ambacho kinakujenga kuweza kujenga hoja na kuichambua kwa mifano halisi hasa kwa mtaani na kazini.

Ni vyema kuwa unapochagua title uchague ambayo ipo current, vitabu vipo na hata researcher mbalimbali duniani angalau wamegusia ili ikusaidie katika litereture review na kujua research gap. Ni vyema dissartation yako ukaifanya wewe mwenyewe ukisaidiana na supervisor wako ili kukujengea uwezo wa kujiamini utakaporudi kazini au mtaani.

Kama una bachelor degree na bado hujafanya masters, amua sasa na ujiunge.
Masters ni rahisi sana tofauti na unavyosikia watu wanavyoizungumzia as long as utaaamua kupambana na kuongeza juhudi katika course yako
mkuu hebu tupe shule kidogo kuhusiana research gap
 
Kuna chuo kimoja juzi tu wametoa matokeo y dissertation. Yaani baada ya supervisors kupitisha hizo dissertation inabidi ziende kwa external examiners. Sasa zimetoka kwa external examininer nimekuta watu wengi wamefeli. Sasa nikajiuliza inamaana supervisors waliopitisha inakuaje. Na hata hao waliofaulu inabidi pia waende stage ya mwisho ambayo ni ya ku defend. Dah hii ndio bongo
Ndio utaratibu usiombe external examiner atoke UD alafu wew upo MU
 
Back
Top Bottom