Kama umepoteza simu aina ya samsang galaxy nyeupe maeneo ya Arusha nitafute

Wapoti

JF-Expert Member
Aug 28, 2013
2,824
1,095
kama umepoteza cm aina ya samsang galaxy nyeupe mtaa wa ARUSHA SAKINA KWA IDD niPM tuwasiliane

Ni mwezi uliopita ni pm nikuelekeze namna ya kuipata.
 
daah! wee ni mmoja kati ya milioni moja waliobaki waaminifu, watu kama wewe hawazaliwi kila siku!! ubarikiwe sana!!
 
Mungu akuzidishie, najua hio simu bado ina line yake,kwa nini usitafute namba ya mtu wake was karibu kama - baby,honey, baba, mama fulani- umpigie iwapo anamfahamu mwenye namba then umpatie, maana humu jamvini itachukua muda kumpata mwenyewe au ipeleke polisi
 
Mungu akuzidishie, najua hio simu bado ina line yake,kwa nini usitafute namba ya mtu wake was karibu kama - baby,honey, baba, mama fulani- umpigie iwapo anamfahamu mwenye namba then umpatie, maana humu jamvini itachukua muda kumpata mwenyewe au ipeleke polisi

hamna ki2 apo ni walewale watafuta riziki kwa njia isiyo halali kama simu iko on c apeleke kwnye office za mtandao anaotumia ili wamtafute mteja wao, wale wana details zote za wateja wao
 
kama umepoteza cm aina ya samsang galaxy nyeupe mtaa wa ARUSHA SAKINA KWA IDD niPM tuwasiliane

Ni mwezi uliopita ni pm nikuelekeze namna ya kuipata.

Tangu mwezi uliopita ulisubiri nini kumtafuta mwenyewe siku zote hizi zaidi ya mwezi sasa? Umeshindwa kuifungua na kuitumia au haiuziki??
 
Mungu akuzidishie, najua hio simu bado ina line yake,kwa nini usitafute namba ya mtu wake was karibu kama - baby,honey, baba, mama fulani- umpigie iwapo anamfahamu mwenye namba then umpatie, maana humu jamvini itachukua muda kumpata mwenyewe au ipeleke polisi

Ninamfahamu aliyeiokota ila aliitoa line hapohapo na anaitumia
 
mazingaobwe ayo, dunia ya leo hamna msaada usio na malipo, nina mashaka sana na wewe km vile ni kalubandika

si kweli mkuu cm ipo na inatumiwa ila ni huruma kwa mpotezaji kwani ni ya gharama kubwa sana na aliyeiokota hashauriki kumtafuta mwenye nayo
 
Tangu mwezi uliopita ulisubiri nini kumtafuta mwenyewe siku zote hizi zaidi ya mwezi sasa? Umeshindwa kuifungua na kuitumia au haiuziki??

Nilipata fununu kwamba mtu kaikota na alimuona aliyeiangusha akihangaika kuitafuta juzi. ila jana nimeiona live ikitumika. Wewe kama ni yako jitokeze utaipata ila uje taratibu usimghasi muokotaji alikuwa ni mtoto akampa mzazi
 
Ninamfahamu aliyeiokota ila aliitoa line hapohapo na anaitumia
Kwa hio unataka kumkamatisha au? Kwa confidence uliyoionyesha kuitangaza hapa why ushindwe kumwambia huyo anayeitumia kuwa hio simu si yako, ama umripotishe kwa wahusika?
 
hamna ki2 apo ni walewale watafuta riziki kwa njia isiyo halali kama simu iko on c apeleke kwnye office za mtandao anaotumia ili wamtafute mteja wao, wale wana details zote za wateja wao
Nakubaliana na wewe,huyu jamaa ni fix
 
Tangu mwezi uliopita ulisubiri nini kumtafuta mwenyewe siku zote hizi zaidi ya mwezi sasa? Umeshindwa kuifungua na kuitumia au haiuziki??

Kashindwa kutoa lock...ukute kahaha kwa mafundi wa mji mzimaa...
 
Kwa hio unataka kumkamatisha au? Kwa confidence uliyoionyesha kuitangaza hapa why ushindwe kumwambia huyo anayeitumia kuwa hio simu si yako, ama umripotishe kwa wahusika?

sio kumkamatisha ila kumsaidia mwenye cm aongee naye apewe cm yake. Shida ss wabongo tunaview things in negative sides kila mara. Ingekuwa mkononi mwangu ningefanya yote mnayosema ila iko kwa asiyejua thamani ya cm anaweza kurubuniwa kwa pesa kodogo ambayo haifiki robo ya thamani ya cm
 
Back
Top Bottom