Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
wahuni sio watu wazuri😅😅
😂😂😂😂😂😂 Huu ni unyanyasaji wa kijinsia 😅wahuni sio watu wazuri😅😅
View attachment 2022729
😅😅😅😅😂😂😂😂Kuna Uzi niliona humu jamaa anafanya kazi ofisi kubwa tu,mara akaja mama wa mihogo na nazi.wale wa kutembeza vifurushi kwenye foleni barabarani
Akamwita anunue kifurushi si akamsogeza chooni kimasihara ,bibie anauliza unanipeleka wapi sasa,jamaa anajibu njoo uniuzie huku kusiko na watu mana sitaki kuonekana.Ameingia nae chemba akampa mwekundu akamwinamisha akala tunda kimasihara🤣
Kuna watu wahuni sn
Endelea kutulia hivyo hivyo madam... dunia ishatoka nje ya.muhimili wake..Ukifuatilia ya kila mtu ya kwako yanachelewa.
yeye amesha solve lake moja hapo.Endelea kutulia hivyo hivyo madam... dunia ishatoka nje ya.muhimili wake..
Kama anakufaa, msaidie katika shughuli zake ili ajikomboe kiuchumi. Atakukumbuka katika umalkia wake.Hata mimi nina rafiki yangu Mama mkaanga mihogo.Ni mpole,hana makuu wala matambo.Mungu bariki sana hawa watu.
Picha inazungumzia kukojoleana sio kusaidiana😅😅😂😂Kama anakufaa, msaidie katika shughuli zake ili ajikomboe kiuchumi. Atakukumbuka katika umalkia wake.
UMEELEWA LAKINI?Mambo yao waachieni wenyewe...
nendeni mkaijaze dunia...Mambo ya kishenzi