Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,597 215,270 Jun 1, 2019 #1 Nimeiangalia hii picha, huyu mzee si sjabu hajawahi kuvaa viatu maisha ni mwake. Anaishi na kutembelea nyayo alizo unbwa nazo. Tangu unezaliwa ni pair ngapi za viatu ulizichakaza lakini miguu yako bado iko imara.
Nimeiangalia hii picha, huyu mzee si sjabu hajawahi kuvaa viatu maisha ni mwake. Anaishi na kutembelea nyayo alizo unbwa nazo. Tangu unezaliwa ni pair ngapi za viatu ulizichakaza lakini miguu yako bado iko imara.
Hawachi JF-Expert Member Nov 25, 2018 12,012 54,174 Jun 1, 2019 #3 Nimewaza hivi Mrisho mpoto nyayo zake zipo kama hivi maana nae havai Viatu.
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,597 215,270 Jun 1, 2019 Thread starter #4 Hawachi said: Nimewaza hivi Mrisho mpoto nyayo zake zipo kama hivi maana nae havai Viatu. Click to expand... Mjomba Mrisho ni msanii mkuu
Hawachi said: Nimewaza hivi Mrisho mpoto nyayo zake zipo kama hivi maana nae havai Viatu. Click to expand... Mjomba Mrisho ni msanii mkuu
Hawachi JF-Expert Member Nov 25, 2018 12,012 54,174 Jun 1, 2019 #5 Sky Eclat said: Mjomba Mrisho ni msanii mkuu View attachment 1113636 Click to expand... Kumbe huwa ana vaa 😀😀😀
Sky Eclat said: Mjomba Mrisho ni msanii mkuu View attachment 1113636 Click to expand... Kumbe huwa ana vaa 😀😀😀
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,597 215,270 Jun 1, 2019 Thread starter #6 Hawachi said: Kumbe huwa ana vaa 😀😀😀 Click to expand... Kukiwa na shughuli yenye media coverage kubwa na mjomba amepewa majukumu, ataingia peku peku huku amevaa magunia.
Hawachi said: Kumbe huwa ana vaa 😀😀😀 Click to expand... Kukiwa na shughuli yenye media coverage kubwa na mjomba amepewa majukumu, ataingia peku peku huku amevaa magunia.
ccm mtoto wao JF-Expert Member Dec 19, 2018 562 480 Jun 1, 2019 #7 Hapa mbona kama mkono mmoja haupo Sky Eclat said: Mjomba Mrisho ni msanii mkuu View attachment 1113636 Click to expand...
Hapa mbona kama mkono mmoja haupo Sky Eclat said: Mjomba Mrisho ni msanii mkuu View attachment 1113636 Click to expand...
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 118,749 141,489 Aug 28, 2019 #8 Huyo siyo sababu ya kukosa viatu, huyo ni sababu ya uchafu... Cc: mahondaw
Mponda 02 JF-Expert Member Jan 24, 2017 522 489 Aug 29, 2019 #9 Atakuwa kakanyaga udongo wenye tindikali