Misako
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 1,144
- 1,398
😂😂😂Kuna baamedi fulani hapa Mwanza alikula laga zangu za kutosha na wakati anafunga baa nikamsidia kuingiza viti lakini mwisho wa siku aliniachia manyoya yaani nilibunda hapo kumsubiri mpaka mlinzi akaniuliza kuwa kama na mimi ni mlinzi mpya wa baa hiyo.
Ila nilimtokezea siku nyingine alilipa laga zote.