Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,507
Ngoja wahusika waje watueleze kwanini huwa wanatetemeka.Ivi kwann MTU akifumania au kufumaniwa ,,Huwa anaishiwa nguvu kabisaaa ??na anatwtemeka sana ??.
Ngoja wahusika waje watueleze kwanini huwa wanatetemeka.Ivi kwann MTU akifumania au kufumaniwa ,,Huwa anaishiwa nguvu kabisaaa ??na anatwtemeka sana ??.
Shetani anaekupa ujasiri wa kumsaliti mwenzio anakua amekutelekeza!Ivi kwann MTU akifumania au kufumaniwa ,,Huwa anaishiwa nguvu kabisaaa ??na anatwtemeka sana ??.
Huyo atakuwa muoga tu. Mkuu ukifumaniwa unatakiwa uwe makini kujihami, unaweza tatuliwa rinda.Ivi kwann MTU akifumania au kufumaniwa ,,Huwa anaishiwa nguvu kabisaaa ??na anatwtemeka sana ??.
My aknowledge...!Hamna jema hapo, tena ukifumania kwa kukusudia ni kujichoresha tu,zaidi utaonekana wa ajabu. Huo muda wa kwenda kufumania panda mchicha utakuwa ule mboga uongeze vitamin mwilini
Nakupenda mchepuko wangu....Hamna jema hapo, tena ukifumania kwa kukusudia ni kujichoresha tu,zaidi utaonekana wa ajabu. Huo muda wa kwenda kufumania panda mchicha utakuwa ule mboga uongeze vitamin mwilini
Daaah.... haina noma.Ewaaaaa..... umeanza kukua sasa....
Hakikisha huu mswada unawafikia wanachama wote...Daaah.... haina noma.
Huu ushafika labda wale walionyweshwa supu ya vikojoleo watusaliti maana kubwa la maaduni huko kusini kashalikoroga.Hakikisha huu mswada unawafikia wanachama wote...
Hakika kila nafsi itaonja mauti, lakini chama kitabakia salama...Huu ushafika labda wale walionyweshwa supu ya vikojoleo watusaliti maana kubwa la maaduni huko kusini kashalikoroga.
Mie nilifumaniwa na mama mkwe kabint form 1 mie form 4 nilikula vitasa ndani ya ghetto kila nikitafuta upenyo nipite nisepe wapiiih!! Mama kajaa mlangoni tena bonge balaa ..alitaka kuniua si kwa kunidunda kule
Shetani anaekupa ujasiri wa kumsaliti mwenzio anakua amekutelekeza!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mie nilifumaniwa na mama mkwe kabint form 1 mie form 4 nilikula vitasa ndani ya ghetto kila nikitafuta upenyo nipite nisepe wapiiih!! Mama kajaa mlangoni tena bonge balaa ..alitaka kuniua si kwa kunidunda kule