financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,127
- 40,685
Mzee wa buku 7800, umeongea upupu wenye thamani ndogo zaidi ya hiyo 7800 ,kama huna cha kuandika pita kimya uwe ndugu msomaji tu, kwani utakufa usipoandika
hahahahahaKama umewahi Kuwa kifuani Kwa asha alafu unataja jina LA Irene.
.
wewe ni nsyuka
HahhahahahahahaKupokea 7800 nao ni ujini
Kwa sisi wenye vyumba self container hayo mambo ya kawaidamengine nakuunga mkono lakini kujamba?
mimi naamini kama umekaa na mpenzi mwaka hujamsikia kujamba kuwa naye makini, ana siri
Na sisi tuliosomesha wachumba imekaaje
Ikitokea mkaachana una haki kuchanganyikiwa!..kawaida tu mm mkewangu anajua hadi ratiba yangu ya kunya ni saa ngap na ngaupi
inafika hatua tukitaka kwnda kuoga wote ananiambia kanye kwanza halafu nakuja nahisi leo mikimba yako inanuka
sijui nyie vijana wa siku hizi mtaweza kudumu ktk ndoa km ndo hvyo
me nakata gogo na namwambia nichotee maji nitawaze ananipa kopo najiswafi tunakoga tunalala
mkipendana mkazoeana mambo ya kawaida tu haswa kwq sisi wa choo ndani na tuliooa ni jambo la kawaida tu
sasa mtu mnanyoana mavuzi mpk yale ya kata mavi sembuse hayo ya kawaida tu
Utakuwa binamu yake shumiletaJee kama ulishawahi kumpa 7800 kwa ajili ya nauli Dar - Mkoani?
Ila inaboaMbona hiyo namba 4 ni kitu cha kawaida
Natumai bado upo naeKuna kipindi nilikuwa naumwa hadi kutembea ilikuwa tabu na nilikuwa mbali sana na nyumbani
My baby alikuwa ananikongoja hadi toilet,anafanya hiyo namba moja na mbili ananirudisha
Nafikiri ni kawaida
Kama hujawai kubadili nguo mbele ya mpenziwako ujue wewe ni jinikama umewahi kumla denda mpenzi wako basi wewe una viashiria vya kijini