Kama ulikuwa unadhani Rais anatania kuhusu Stieglers,basi fikiri upya...

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,478
20,390
Mabeberu hoi, yalitaka watanzania waendelee kupikia kuni halafu baadae waje na kamera zao kuonesha ni jinsi gani Afrika ilivyo maskini mpaka karne hii kuna watu wanapikia kuni.

Serikali ya Jamhuri ya Tanzania imekabidhi rasmi eneo la mradi kwa kampuni ya Arab contractors ikiwa ni kiashirio rasmi cha kuanza ujenzi kwa mradi wa uzalishaji wa umeme.

Mradi huu kamwe hautashindikana sababu Ujerumani hawautaki wala wanamazingira ambao wanashindwa kuelewa bila chanzo cha uhakika cha nishati basi Tanzania itaendelea kupoteza idadi kubwa ya misitu kila siku
 
Hao wanasiasa na watu wa mazingira wanaoupinga mradi wa stieglers wanayo makazi yao jijini Dar. Na jiji hili linalishwa kupitia mikaa inayotoka mkoa wa Pwani. Yaani Pwani imekuwa jangwa kwa sababu ya matumbo ya Dar, kwa sababu ya matumbo ya hao wanafiki wenye kujidai kuipenda sana ecology na masuala ya uhifadhi.
 
Mabeberu hoi, yalitaka watanzania waendelee kupikia kuni halafu baadae waje na kamera zao kuonesha ni jinsi gani Afrika ilivyo maskini mpaka karne hii kuna watu wanapikia kuni.
Serikali ya Jamhuri ya Tanzania imekabidhi rasmi eneo la mradi kwa kampuni ya Arab contractors ikiwa ni kiashirio rasmi cha kuanza ujenzi kwa mradi wa uzalishaji wa umeme.
Mradi huu kamwe hautashindikana sababu Ujerumani hawautaki wala wanamazingira ambao wanashindwa kuelewa bila chanzo cha uhakika cha nishati basi Tanzania itaendelea kupoteza idadi kubwa ya misitu kila siku
Ninyi wanaccm na akili zenu za kinyesi ndo mnatuharibia nchi.Hivi si ninyi mlikuwa mnatupigia kelele kuwa umeme wa gesi utakuwa nafuu.Je huo umeme umeishia wapi?
 
Kelele nyiiingi kuliko kazi sasa tujenge tuu tuache maneno nchi za wenzetu wanafanya makubwa kimyaaaa bila ushabiki wa kijinga. Waethiopia wanafanya meengi hutakuta majigambo yakutoana roho. atahivyo ni kodizetu siyo hela yamtu!!
 
Hao wanasiasa na watu wa mazingira wanaoupinga mradi wa stieglers wanayo makazi yao jijini Dar. Na jiji hili linalishwa kupitia mikaa inayotoka mkoa wa Pwani. Yaani Pwani imekuwa jangwa kwa sababu ya matumbo ya Dar, kwa sababu ya matumbo ya hao wanafiki wenye kujidai kuipenda sana ecology na masuala ya uhifadhi.
Ha ha uchungu lakini ndio basi tena
 
Tulishaunga mkono utekelezaji wa mradi huo kwa maslahi mapana ya nchi, kitu cha kujivunia rais wetu yuko very principled ndiyo maana haoni ishu kusafirisafiri kwenda kujipendekeza kwa hayo makabaila kama yule mwingine
 
shida tuliyonayo kama taifa ni watu kushangilia miradi mipya ikianzishwa,hawajiulizi kabla ya JPM kuwa rais kulikuwa na miradi mikubwa ya upatikanaji umeme ambapo maandalizi yake yametumia pesa nyingi-kisha miradi inaishia njiani.
 
Back
Top Bottom