kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,211
- 2,636
Kuna mifano hai ya watu au tahasisi zilizokuwa zinapingana ccm. Ccm kwa kutumia intelejinsia yao wakawamaliza polepole kwa kuingia makubaliano nao. Mfano cuf inakufa sababu ya mkataba wa serikari ya mseto, masumbuko lamwai , mrema, seif hamad, nccr mageuzi n.k wote kwishinei kwa kuungana na ccm. Hivyo chadema wawe wahaangalifu na makubaliano wanayohafikiana na ccm.