Kama Ulikuwa kilaza ni kilaza tu

Rutorial k

JF-Expert Member
Jun 8, 2014
937
817
Kumekuwa na hii tabia ya watu kuwa wanafiki saàna kuhusu swala la walimu wa Sanaa kukosa ajira....imefika hatua eti mtu aliyepata division 4 ya kubahatisha nae anakucheeka bila kufikilia alikuwa kilaza tu.

Ndg walimu wa Sanaa tusikate tamaa.hakuna ajuae kesho..yawezeka hawa watesi wetu wanaotuona hatufai kisa wamechaguliwa au kuteuliwa wakatoweka gafla na wanaotuthamini wakawa viongozi wa nchi yetu

Wanachotakiwa kujua ni kuwa walituhadaa wakati wa kutaka kujiunga na elimu ya juu..course za uwalimu wakazipa kipaumbele ili Twende huko hatimae waje kutucheka na kutuzihaki..

Ndg walimu wasanaa tusiwe wanyonge.aminini kuwa bado tuna thamani ile ule ya ubinadamu wetu tulioumbwa nayo.lakini tutambue kuwa hii ni Vita ya wana Sanaa na wanaojiita wanasayansi.hii ni Vita ya ubaguzi wa wazi kabisaa kwa kuwa wote wa juu ni wanasayansi.
 
Pole Sana mkuu.

Tena ghafula utasikia team za upoyoyo na upiga porojo zinaanza kuwaambieni, nendeni mkajiari mara ooo ooooh mkalime huku wao kila siku ni kulilia posho za vikao.

Na tangia nazaliwa hadi leo wako mjengoni.

Mkuu, subira yavuta kheri, ila poleni sana.

Japo we do have "Pathetic thinkers"
 
Watu wa sanaa ni wa ajabu kabisa.... ina maana shuleni mnafundisha kuwa ni nani aliichora nembo ya Taifa? maana kuna utata na ninyi mnaojiita wasomi wa sanaa mmeka kimywa. Mnajua nini kama hilo dogo hamjui?
 
IPO cku tutaonekana tuna maana.... 2020 watatugeuza agenda mjue ila tupeane moyo ikibid tuanzishe ushirika vikund vkund sema mtaj mbinde
 
mkuu pole umeandika kwa hisia,, lkn usiseme ni vita ya syns na sanaa, ,umegeneralize sana...may be a war between arts teachers & your gvt..
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom