Kama uliipenda Fast and Furious, tazama hii pia

Fabijr

Member
Sep 16, 2015
24
19
Wale mnaomkubali kinyama Vin Disel kaja na BLOODSHOT. Movie kali ya action 2020 Pakua Bure Hapa ShrinkMe.io
 

Attachments

  • bloods.jpg
    bloods.jpg
    55.7 KB · Views: 1
Mbona nnayo iyo. Hapa nasubiri furious 9 maana umo ndani kuna jon cenna, Kadi B na pia mzee wa mzima HAN amerudi. Alipotelea tangu 6
 
Movie kali lakn sijui kwa nn ipo kawaid tu nazan vin hakutakiwa Ku act hii movie it's just like there is something is missing
 
Ajaribu kuwasiliana na Cameroon amumtengenezee kitu kimoja cha uhakika kama kile cha Alita

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani vin diesel ndiye anayetengeneza movie au unadhani movie ni zake??...yeye anaitwa tu akaigize Kisha alipwe chake asepe haijalishi movie mbaya au nzuri...yeye akisaini mkataba na kampuni inayotengeneza movie ndo bas........bajeti ya movie moja ni kuanzia angalau $milion 150 Kama bilioni 320 za tz.....Sasa huyo vin ataanzaje kuongea na Cameroon.........
......alafu jamaa asikilizi mashabiki anaangalia maslahi yake......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom