FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,472
- 1,828
Ndugu Waafrika. Tumeacha Mema kwa Mambo mafupi yanayopita na Kudandia Tamaduni za Hovyo
Wazee wetu waliangalia haya Kabla Hawajamruhusu Mtoto wao kuoa /kuolewa
Walichunguza Familia ya Binti
Walichunguza Jina la Binti
Walichunguza ukoo
Walichunguza magonjwa
Walichunguza Familia Ya Binti
Familia ya Binti huchunguzwa kwa sababu binti ndio anaenda Kuolewa. Familia zilizojaa Ushirikina, wambea watu wasiofaa katika jamii. Hawa Mabinti zao ilikuwa ni ngumu sana kupata wanaume wa Kuwaoa. Ni familia zilizokuwa zinaepukwa Sana. Na Kumbuka Wazee Walikuwa wanazungumza na Familia husika na Kuwa karibu nazo Kabla Watoto wao hawajaoana
Walichunguza Jina la Binti
Jina ni kitu kikubwa kuliko watu wanavyodhani. Unapompatia Mwanao jina Hakikisha Jina Hilo lina maana na Linaendana na Wakati na Epuka kabisa kumpatia mtoto wako jina la Ndugu wako au Babu zako au wajomba zako wa Nyuma. Wazee wetu Walichunguza majina maana Kuna Watu wamepewa majina Kumbe hayo majina Yalikuwa mabaya huko nyuma. Unampatia Jina Mtoto wako kutoka kwa Mjomba sijui Bibi. Kumbe huyo Bibi alishawahi kuwa mchawi.. Mshirikina.. Mwizi wa wanaume za watu. Mwizi wa mali. Malaya.. N. K n. K
Kwahiyo majina Hayo yalichunguzwa na Kama yalitakiwa kurekebishwa Basi Yalirekebishwa ili hizo tabia zisimpate Mtoto.
Hayo yaliyobaki Kwa akili timamu unajua kabisa Walichunguza mengi.
Sasa Wakati huu
Mwanaume anakutana na binti club, Sherehe za Harusi, Ukumbini, kwenye semina,barabarani n.k Tamaa zinamjaa anaona Huyu anafaa kuwa mke (nani kakuambia)
Mabinti wengi Mnaowaona Kama hamjawachunguza Jueni wametoka na Mambo yao huko kwao na kwenye Ukoo wao ambayo ww huyaelewi na Yatakutesa na Ndicho ulichokioa hicho ndugu yangu. Unamuoa Binti kumbe Wazazi wake au ndugu au Babu zake na Bibi zake walishamlaani huko na Kumtamkia maneno kama Vile (popote utakapoenda Hutofanikiwa, utakapoenda Na ukiolewa hutopata mtoto, utakapoenda Mwanaume utakayekuwa naye hatofanikiwa, Utakapoenda Hutoweza tulia na Mwanaume mmoja )
Baada ya Hayo unakuja Kulalamika ooh Ss hivi mke wangu ndio unaonyesha Makucha. Hapana ndugu ulioa Matatizo hayo kabla hujayarekebisha. Ulioa mchoyo.. Ulioa mmbea.. Ulioa Mchawi. Ulioa mtu asiyejua Kujitunza mwenyewe kimwili na mambo ya Hapa Na Pale usiyoyajua Binti katoka nayo wapi
Wazee wetu walijua Familia nyingi zina mambo yao Na Matatizo Lukuki na Mambo mengi yanarithishwa kwa Vizazi vyao. Kwahiyo walipochunguza Walijua Ukoo fulani una Mambo Haya na Haya na Kuamua kuyarekebisha Mambo hayo yasiendelee na Kama Ni mambo mabaya zaidi ukoo huo Ulikuwa huwezi kwenda kuoa Hapo hata Siku moja. Mabinti wa Pale walikimbiwa na Watu hata kama Walikuwa na Uzuri wa Kuvutia Kila Wanaume.
Sasa Mabinti hao ndio Wanaona Bora wayakimbie maeneo wanayotambulika kwa sana na Mambo ya Ukoo wao na kukimbilia miji ya Mjini ambayo watu wengi hawawajui. Sasa wanakutana na Wewe usiyejielewa pia Unamuona Binti Keshafika mjini unamchunguza Ki mjini mjini. Eti ameshakuwa na Wanaume wangapi.. Mara anajua kupika..na mambo yasiyokuwa na Juu wala chini unajiridhisha kwa Mambo ya Hovyo unamuweka Ndani. Kumbe kuna Mambo ya Ki roho huyajui yanakuja Kukuibukia Unaanza Kutafuta Waganga wakutibie
Ndugu zangu Dunia Hii ina Roho za kila Aina chunguzeni Roho hizo kutoka Katika sehemu mnayoenda kuoa au kuolewa. Kuna Koo zingine Hazifai kuoa
ASANTENI
Wazee wetu waliangalia haya Kabla Hawajamruhusu Mtoto wao kuoa /kuolewa
Walichunguza Familia ya Binti
Walichunguza Jina la Binti
Walichunguza ukoo
Walichunguza magonjwa
Walichunguza Familia Ya Binti
Familia ya Binti huchunguzwa kwa sababu binti ndio anaenda Kuolewa. Familia zilizojaa Ushirikina, wambea watu wasiofaa katika jamii. Hawa Mabinti zao ilikuwa ni ngumu sana kupata wanaume wa Kuwaoa. Ni familia zilizokuwa zinaepukwa Sana. Na Kumbuka Wazee Walikuwa wanazungumza na Familia husika na Kuwa karibu nazo Kabla Watoto wao hawajaoana
Walichunguza Jina la Binti
Jina ni kitu kikubwa kuliko watu wanavyodhani. Unapompatia Mwanao jina Hakikisha Jina Hilo lina maana na Linaendana na Wakati na Epuka kabisa kumpatia mtoto wako jina la Ndugu wako au Babu zako au wajomba zako wa Nyuma. Wazee wetu Walichunguza majina maana Kuna Watu wamepewa majina Kumbe hayo majina Yalikuwa mabaya huko nyuma. Unampatia Jina Mtoto wako kutoka kwa Mjomba sijui Bibi. Kumbe huyo Bibi alishawahi kuwa mchawi.. Mshirikina.. Mwizi wa wanaume za watu. Mwizi wa mali. Malaya.. N. K n. K
Kwahiyo majina Hayo yalichunguzwa na Kama yalitakiwa kurekebishwa Basi Yalirekebishwa ili hizo tabia zisimpate Mtoto.
Hayo yaliyobaki Kwa akili timamu unajua kabisa Walichunguza mengi.
Sasa Wakati huu
Mwanaume anakutana na binti club, Sherehe za Harusi, Ukumbini, kwenye semina,barabarani n.k Tamaa zinamjaa anaona Huyu anafaa kuwa mke (nani kakuambia)
Mabinti wengi Mnaowaona Kama hamjawachunguza Jueni wametoka na Mambo yao huko kwao na kwenye Ukoo wao ambayo ww huyaelewi na Yatakutesa na Ndicho ulichokioa hicho ndugu yangu. Unamuoa Binti kumbe Wazazi wake au ndugu au Babu zake na Bibi zake walishamlaani huko na Kumtamkia maneno kama Vile (popote utakapoenda Hutofanikiwa, utakapoenda Na ukiolewa hutopata mtoto, utakapoenda Mwanaume utakayekuwa naye hatofanikiwa, Utakapoenda Hutoweza tulia na Mwanaume mmoja )
Baada ya Hayo unakuja Kulalamika ooh Ss hivi mke wangu ndio unaonyesha Makucha. Hapana ndugu ulioa Matatizo hayo kabla hujayarekebisha. Ulioa mchoyo.. Ulioa mmbea.. Ulioa Mchawi. Ulioa mtu asiyejua Kujitunza mwenyewe kimwili na mambo ya Hapa Na Pale usiyoyajua Binti katoka nayo wapi
Wazee wetu walijua Familia nyingi zina mambo yao Na Matatizo Lukuki na Mambo mengi yanarithishwa kwa Vizazi vyao. Kwahiyo walipochunguza Walijua Ukoo fulani una Mambo Haya na Haya na Kuamua kuyarekebisha Mambo hayo yasiendelee na Kama Ni mambo mabaya zaidi ukoo huo Ulikuwa huwezi kwenda kuoa Hapo hata Siku moja. Mabinti wa Pale walikimbiwa na Watu hata kama Walikuwa na Uzuri wa Kuvutia Kila Wanaume.
Sasa Mabinti hao ndio Wanaona Bora wayakimbie maeneo wanayotambulika kwa sana na Mambo ya Ukoo wao na kukimbilia miji ya Mjini ambayo watu wengi hawawajui. Sasa wanakutana na Wewe usiyejielewa pia Unamuona Binti Keshafika mjini unamchunguza Ki mjini mjini. Eti ameshakuwa na Wanaume wangapi.. Mara anajua kupika..na mambo yasiyokuwa na Juu wala chini unajiridhisha kwa Mambo ya Hovyo unamuweka Ndani. Kumbe kuna Mambo ya Ki roho huyajui yanakuja Kukuibukia Unaanza Kutafuta Waganga wakutibie
Ndugu zangu Dunia Hii ina Roho za kila Aina chunguzeni Roho hizo kutoka Katika sehemu mnayoenda kuoa au kuolewa. Kuna Koo zingine Hazifai kuoa
ASANTENI