mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,207
- 1,755
Sasa hivi hakuna maadili ya kazi katika taasisi za mawasiliano, na hili halizungumzwi na wahusika.
Ni vyepesi sana kuibiwa simu na sim card zikiwemo, na Kibaya zaidi ukichelewa kurenew ndani ya masaa matano tu, basi hautakuta pesa zako tena ndani ya sim card husika.
Namna ya kushitaki ni shida hakuna ushaidi wowote kwamba haukutoa pesa mwenyewe bali mwizi, hivyo zikishaibiwa zimeibiwa.
Nachojua na kitakacho kusaidia ni wewe kubadilisha mtindo wa maisha yako.
1.penda kutembea na kitambulisho chako cha Taifa ama mpiga kura. Ili kama utaibiwa simu mchana basi fanya juu chini ili kurenew number yako muda huo huo lakini hii bado ni bahati na sibu ila inasaidia.
2. usiweke pesa zaidi ya elfu 50 kama akiba ndani ya sim card, jaribu kuacha bank, kama ikitokea shida ya ghafla unasafirisha pesa kupitia simu banking.
Hata hivyo njia hizi ni sumbufu tu, ila kwa mtazamo wangu naona ni njia bora kwa kuwa wahusika wa mitandao kwa sasa hawana maadili, kuna mtu kaibiwa pesa ndefu na tena town cha ajabu ni kwamba pesa hiyo kakuta Haimo na akienda kwa mtandao husika wanasema amekwisha toa masaa machache yaliyopita na huu umekuwa mchezo wa mjini.
NB: Siwezi kukaa na kuandika vizuri wenye akili wamenielewa, JAPOKUWA NIMEANDIKA VIZURI.
Ni vyepesi sana kuibiwa simu na sim card zikiwemo, na Kibaya zaidi ukichelewa kurenew ndani ya masaa matano tu, basi hautakuta pesa zako tena ndani ya sim card husika.
Namna ya kushitaki ni shida hakuna ushaidi wowote kwamba haukutoa pesa mwenyewe bali mwizi, hivyo zikishaibiwa zimeibiwa.
Nachojua na kitakacho kusaidia ni wewe kubadilisha mtindo wa maisha yako.
1.penda kutembea na kitambulisho chako cha Taifa ama mpiga kura. Ili kama utaibiwa simu mchana basi fanya juu chini ili kurenew number yako muda huo huo lakini hii bado ni bahati na sibu ila inasaidia.
2. usiweke pesa zaidi ya elfu 50 kama akiba ndani ya sim card, jaribu kuacha bank, kama ikitokea shida ya ghafla unasafirisha pesa kupitia simu banking.
Hata hivyo njia hizi ni sumbufu tu, ila kwa mtazamo wangu naona ni njia bora kwa kuwa wahusika wa mitandao kwa sasa hawana maadili, kuna mtu kaibiwa pesa ndefu na tena town cha ajabu ni kwamba pesa hiyo kakuta Haimo na akienda kwa mtandao husika wanasema amekwisha toa masaa machache yaliyopita na huu umekuwa mchezo wa mjini.
NB: Siwezi kukaa na kuandika vizuri wenye akili wamenielewa, JAPOKUWA NIMEANDIKA VIZURI.