Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 786
- 1,015
Ni kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliharibiwa na baadhi ya watendaji wa Serikali kiasi kwamba ukaonekana ni hovyo.
Ndiyo maana akina Lissu wanapojenga hoja ya mabadiliko kabla ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 wanaeleweka vema na Watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Na mbaya zaidi hoja ya upande wetu kuwa muda wa mabadiliko hautoshi imejibiwa kikamilifu na akina Lissu.
Kama uchaguzi wa mwaka jana ungefanyika kwa namna ambayo ingewaridhisha wapinzani mwaka huu wangekubali kushiriki uchaguzi Mkuu kwa Katiba,Tume ya Uchaguzi na Sheria hizi hizi zilizopo.
Ndiyo maana akina Lissu wanapojenga hoja ya mabadiliko kabla ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 wanaeleweka vema na Watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Na mbaya zaidi hoja ya upande wetu kuwa muda wa mabadiliko hautoshi imejibiwa kikamilifu na akina Lissu.
Kama uchaguzi wa mwaka jana ungefanyika kwa namna ambayo ingewaridhisha wapinzani mwaka huu wangekubali kushiriki uchaguzi Mkuu kwa Katiba,Tume ya Uchaguzi na Sheria hizi hizi zilizopo.