Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,586
- 217,976
Zipo Taarifa kwamba Mh. Rais Samia na Mkuu wa Majeshi Mabeyo ni miongoni mwa watu waliojishindia Tuzo za Heshima za Muziki, wengine waliopata tuzo hizo za Heshima ni Bi Kidude na Diamond Platnum, kila la heri kwao kwa kujinyakulia tuzo hizo.
Bali swali langu ni hili, Mabeyo na Samia wamepewaje tuzo za masuala ya usanii ikiwa hawajawahi kutoa singo, kuigiza wala kushiriki video ya muziki?
Bali swali langu ni hili, Mabeyo na Samia wamepewaje tuzo za masuala ya usanii ikiwa hawajawahi kutoa singo, kuigiza wala kushiriki video ya muziki?