live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 785
- 1,260
Mimi kwa kweli kuna mda unafika huwa nashindwa kuwaelewa wanasiasa wa kitanzania
Ina maana Zitto kama mbunge ameshindwa kuikosoa serikali kama anaona kuna kitu hakipo sawa hadi aende kulialia WB kuwa wasiikopeshe Tanzania
Tena ukizingatia ni pesa ambayo inatakiwa kwenda katika sector ya elimu wafaidika wakubwa wangekuwa ni watoto wa kitanzania na ni watoto wa wapiga kura wake
Kama kungekuwa na chuo cha wapinzani wa siasa basi wana siasa wa kitanzania ilitakiwa wakasome hicho chuo
Maana Seifu nae alipokosaga uraisi Zanzibar alizunguka dunia nzima kutaka Zanzibar itengwe na kunyimwa misada Lisu nae hivyo hivyo anazunguka dunia nzima ili Tanzania iwekewe vikwazo na sasa ameibuka Zitto
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana Zitto kama mbunge ameshindwa kuikosoa serikali kama anaona kuna kitu hakipo sawa hadi aende kulialia WB kuwa wasiikopeshe Tanzania
Tena ukizingatia ni pesa ambayo inatakiwa kwenda katika sector ya elimu wafaidika wakubwa wangekuwa ni watoto wa kitanzania na ni watoto wa wapiga kura wake
Kama kungekuwa na chuo cha wapinzani wa siasa basi wana siasa wa kitanzania ilitakiwa wakasome hicho chuo
Maana Seifu nae alipokosaga uraisi Zanzibar alizunguka dunia nzima kutaka Zanzibar itengwe na kunyimwa misada Lisu nae hivyo hivyo anazunguka dunia nzima ili Tanzania iwekewe vikwazo na sasa ameibuka Zitto
Sent using Jamii Forums mobile app