Kama tungelijua kuhusu Dkt. Shika, tusingemfanyia haya kwa historia yake

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,718
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.

Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.

Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.

Ila kiukweli kiundani huyu jamaa nchi ya Urusi kaacha jina kubwa kwenye kampuni ya lancefort ltd kwa sasa inamilikiwa na serikali Urusi.

Kuna kamsemo vijana wanapenda kutumia “bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuwa mwanadamu Afrika”

Mimi na kubali huu msemo asilimia 100%

Thamani yake ya Dkt. Shika iligubikwa na matatizo mpaka ubalozi wa Tanzania Urusi unatambua lakini hakuwa na mchango wowote japo kutetea hata kikombe wala shati lake na familia yake.

Kama Dkt. Shika mambo yasingekuwa mabaya aliyopitia leo tanzania ingekuwa na mmoja wa Tanzania mwenye utajiri mkubwa urusi. Hata angekuwa mchango mkubwa na nchi yake.

Makadilio niliyosikia kuwa kwa kampuni hii lancefort ltd pesa iliyopo nayo sasa sawa na trioni 60 sawa na bajeti ya miaka miwili tanzania.

Ila kampuni lancefort ltd bado imeweka jina lake Dkt. Shika kuwa ndio baba na muanzilishi wa hii kampuni japo inamilikwa sasa na serekali ya urusi.

Tuliomziaki na kumpa majina kibao kama Baazi ya televisheni mpaka kumfananisha na wimbo wa kalubandika.

Tulimkosea sana kwa matatizo aliyopitia na kukosa wakumsaidia kupata haki yake.

Mungu hakulaze mahari pema Dkt. Shika

IMG_8412.jpg
 
Mbona hujaainisha mambo aliyoyapitia, mbona hujaonesha ukweli kuhusu hiyo kampuni ikimuonesha yeye kuwa ni mwanzilishi?

Mbona stori yako ni kama umeiandika ionewe huruma tu ila kiukweli haiwez jitetea yenyewe kabisa

Story zipo ingia jf utafute maana ni za watu wanaweza kukushitaki
 
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.

Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.

Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.

Ila kiukweli kiundani huyu jamaa nchi ya Urusi kaacha jina kubwa kwenye kampuni ya lancefort ltd kwa sasa inamilikiwa na serikali Urusi.

Kuna kamsemo vijana wanapenda kutumia “bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuwa mwanadamu Afrika”

Mimi na kubali huu msemo asilimia 100%

Thamani yake ya Dkt. Shika iligubikwa na matatizo mpaka ubalozi wa Tanzania Urusi unatambua lakini hakuwa na mchango wowote japo kutetea hata kikombe wala shati lake na familia yake.

Kama Dkt. Shika mambo yasingekuwa mabaya aliyopitia leo tanzania ingekuwa na mmoja wa Tanzania mwenye utajiri mkubwa urusi. Hata angekuwa mchango mkubwa na nchi yake.

Makadilio niliyosikia kuwa kwa kampuni hii lancefort ltd pesa iliyopo nayo sasa sawa na trioni 60 sawa na bajeti ya miaka miwili tanzania.

Ila kampuni lancefort ltd bado imeweka jina lake Dkt. Shika kuwa ndio baba na muanzilishi wa hii kampuni japo inamilikwa sasa na serekali ya urusi.

Tuliomziaki na kumpa majina kibao kama Baazi ya televisheni mpaka kumfananisha na wimbo wa kalubandika.

Tulimkosea sana kwa matatizo aliyopitia na kukosa wakumsaidia kupata haki yake.

Mungu hakulaze mahari pema Dkt. Shika

View attachment 1892819
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nani huwa unawadanganya? Kweli Bongo ni nchi nyingine kabisa. Halafu watu wasiojua kama wewe huwa ni wabishi kweli kweli.
 
Story zipo ingia jf utafute maana ni za watu wanaweza kukushitaki
Sasa hao wanao hozi hizo story za Dr Shika wao wanafaidikaje hapo!? Au unamaana kwamba tukitaka story ya Dr Shika akiwa Urusi tuzinunuwe kutoka kwao!?
 
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.

Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.

Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.

Ila kiukweli kiundani huyu jamaa nchi ya Urusi kaacha jina kubwa kwenye kampuni ya lancefort ltd kwa sasa inamilikiwa na serikali Urusi.

Kuna kamsemo vijana wanapenda kutumia “bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuwa mwanadamu Afrika”

Mimi na kubali huu msemo asilimia 100%

Thamani yake ya Dkt. Shika iligubikwa na matatizo mpaka ubalozi wa Tanzania Urusi unatambua lakini hakuwa na mchango wowote japo kutetea hata kikombe wala shati lake na familia yake.

Kama Dkt. Shika mambo yasingekuwa mabaya aliyopitia leo tanzania ingekuwa na mmoja wa Tanzania mwenye utajiri mkubwa urusi. Hata angekuwa mchango mkubwa na nchi yake.

Makadilio niliyosikia kuwa kwa kampuni hii lancefort ltd pesa iliyopo nayo sasa sawa na trioni 60 sawa na bajeti ya miaka miwili tanzania.

Ila kampuni lancefort ltd bado imeweka jina lake Dkt. Shika kuwa ndio baba na muanzilishi wa hii kampuni japo inamilikwa sasa na serekali ya urusi.

Tuliomziaki na kumpa majina kibao kama Baazi ya televisheni mpaka kumfananisha na wimbo wa kalubandika.

Tulimkosea sana kwa matatizo aliyopitia na kukosa wakumsaidia kupata haki yake.

Mungu hakulaze mahari pema Dkt. Shika

View attachment 1892819
Kwahiyo unataka tufanyeje?..unaishi Kwa uwongo na ubabaishaji!!!... story zake za Urusi na kusubiria fedha zipo miaka na miaka labda wewe ulimsikia na kumjua baada ya mia tisa!!..Nenda Kigamboni huko ukapate ukweli wake!!..Nenda kwenye internet cafes nyingi wanamjua huyu Kwa fedha zake na deal zake nyingi zisizo na ukomo!!
 
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.

Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.

Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.

Ila kiukweli kiundani huyu jamaa nchi ya Urusi kaacha jina kubwa kwenye kampuni ya lancefort ltd kwa sasa inamilikiwa na serikali Urusi.

Kuna kamsemo vijana wanapenda kutumia “bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuwa mwanadamu Afrika”

Mimi na kubali huu msemo asilimia 100%

Thamani yake ya Dkt. Shika iligubikwa na matatizo mpaka ubalozi wa Tanzania Urusi unatambua lakini hakuwa na mchango wowote japo kutetea hata kikombe wala shati lake na familia yake.

Kama Dkt. Shika mambo yasingekuwa mabaya aliyopitia leo tanzania ingekuwa na mmoja wa Tanzania mwenye utajiri mkubwa urusi. Hata angekuwa mchango mkubwa na nchi yake.

Makadilio niliyosikia kuwa kwa kampuni hii lancefort ltd pesa iliyopo nayo sasa sawa na trioni 60 sawa na bajeti ya miaka miwili tanzania.

Ila kampuni lancefort ltd bado imeweka jina lake Dkt. Shika kuwa ndio baba na muanzilishi wa hii kampuni japo inamilikwa sasa na serekali ya urusi.

Tuliomziaki na kumpa majina kibao kama Baazi ya televisheni mpaka kumfananisha na wimbo wa kalubandika.

Tulimkosea sana kwa matatizo aliyopitia na kukosa wakumsaidia kupata haki yake.

Mungu hakulaze mahari pema Dkt. Shika

View attachment 1892819
Wenzetu ukifanya nao kazi ukikaribia kumaliza mda wako wanakufyatua akili ili usijeuza teknolojia kwako .
Wee huoni wasomi wakaofanya kazi nchi za nje wakimaligaza mkataba wao wakirudi huku kwao baada ya mdaa mchache akili zinarukaga? Wee jiulize hapo kuna siri gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzetu ukifanya nao kazi ukikaribia kumaliza mda wako wanakufyatua akili ili usijeuza teknolojia kwako .
Wee huoni wasomi wakaofanya kazi nchi za nje wakimaligaza mkataba wao wakirudi huku kwao baada ya mdaa mchache akili zinarukaga? Wee jiulize hapo kuna siri gani

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu sio watu wa nje hata makampuni ya ndani huwa wanafanya hayo mambo ,kwasisi mafundi tukishajenga nyumba ,boss akifanya sherehe akatuandalia msosi huwa mimi sili maana kuna mambo yanawekwa mule baada ya muda kama sio kuanza kukata kamba basi dishi lazima licheze.
 
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.

Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.

Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.

Ila kiukweli kiundani huyu jamaa nchi ya Urusi kaacha jina kubwa kwenye kampuni ya lancefort ltd kwa sasa inamilikiwa na serikali Urusi.

Kuna kamsemo vijana wanapenda kutumia “bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuwa mwanadamu Afrika”

Mimi na kubali huu msemo asilimia 100%

Thamani yake ya Dkt. Shika iligubikwa na matatizo mpaka ubalozi wa Tanzania Urusi unatambua lakini hakuwa na mchango wowote japo kutetea hata kikombe wala shati lake na familia yake.

Kama Dkt. Shika mambo yasingekuwa mabaya aliyopitia leo tanzania ingekuwa na mmoja wa Tanzania mwenye utajiri mkubwa urusi. Hata angekuwa mchango mkubwa na nchi yake.

Makadilio niliyosikia kuwa kwa kampuni hii lancefort ltd pesa iliyopo nayo sasa sawa na trioni 60 sawa na bajeti ya miaka miwili tanzania.

Ila kampuni lancefort ltd bado imeweka jina lake Dkt. Shika kuwa ndio baba na muanzilishi wa hii kampuni japo inamilikwa sasa na serekali ya urusi.

Tuliomziaki na kumpa majina kibao kama Baazi ya televisheni mpaka kumfananisha na wimbo wa kalubandika.

Tulimkosea sana kwa matatizo aliyopitia na kukosa wakumsaidia kupata haki yake.

Mungu hakulaze mahari pema Dkt. Shika

View attachment 1892819
Kwanza wewe ni liccm na hayo yote Kama kweli yalikuwepo kwa Dr wakulaumiwa ni lichama lako mbwa wewe
 
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.

Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.

Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.

Ila kiukweli kiundani huyu jamaa nchi ya Urusi kaacha jina kubwa kwenye kampuni ya lancefort ltd kwa sasa inamilikiwa na serikali Urusi.

Kuna kamsemo vijana wanapenda kutumia “bora kuwa mbwa Ulaya kuliko kuwa mwanadamu Afrika”

Mimi na kubali huu msemo asilimia 100%

Thamani yake ya Dkt. Shika iligubikwa na matatizo mpaka ubalozi wa Tanzania Urusi unatambua lakini hakuwa na mchango wowote japo kutetea hata kikombe wala shati lake na familia yake.

Kama Dkt. Shika mambo yasingekuwa mabaya aliyopitia leo tanzania ingekuwa na mmoja wa Tanzania mwenye utajiri mkubwa urusi. Hata angekuwa mchango mkubwa na nchi yake.

Makadilio niliyosikia kuwa kwa kampuni hii lancefort ltd pesa iliyopo nayo sasa sawa na trioni 60 sawa na bajeti ya miaka miwili tanzania.

Ila kampuni lancefort ltd bado imeweka jina lake Dkt. Shika kuwa ndio baba na muanzilishi wa hii kampuni japo inamilikwa sasa na serekali ya urusi.

Tuliomziaki na kumpa majina kibao kama Baazi ya televisheni mpaka kumfananisha na wimbo wa kalubandika.

Tulimkosea sana kwa matatizo aliyopitia na kukosa wakumsaidia kupata haki yake.

Mungu hakulaze mahari pema Dkt. Shika

View attachment 1892819
Leta link mkuu
 
Back
Top Bottom