Kama Tunahitaji Maendeleo, Raisi Wa TZ Ajaye Awe Na Sifa Hizi

LINCOLINMTZA

JF-Expert Member
Mar 15, 2011
1,639
516
Naona watu wengi wanawaza kuhusu raisi ajaye.

Nafikiri si vibaya kwani kwa sasa tunahitaji maendeleo katika nyanja zote kupitia kiongozi imara wa nchi hasa raisi.

Pamoja na hayo, uchaguzi mkuu wa 2015 umekaribia ambapo ndo tunapohitajika kuamua raisi wetu.

Lakini mapendekezo mengi yamekuwa yakisahau kuwa raisi ajaye ni lazima asiwe pandikizi au anayeweza kubadilishwa na mataifa ya kibepari kama Marekani.
Nasema hivi kwa sababu Tanzania sasa ni 'target' kubwa ya mataifa makubwa hasa Marekani katika kunyonya rasimali za nchi.

Tunahitaji raisi atayesimama mwenyewe katika kuendesha nchi na kufanya biashara za faida kwa nchi yetu na mataifa makubwa duniani kama Marekani.

Tunahitaji raisi ambaye tunajua uhusiano wake na mataifa makubwa mapema kabla ya kuchaguliwa na hiyo ndo kazi ya TISS. Kwa kifupi hatuhitaji 'Puppet' nchini kwetu.

Watanzania wezangu, hili ni suala la msingi sana kwa kusimamia na kulinda mali na hali za watanzania wote.

Mtu yeyote anyepingiwa chapuo au mwenye mahusiano ya karibu na Marekani au nchi yeyote kubwa duniani tusimchangue kabisa.

Kwa kifupi raisi huyo anahitajika kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo ya kitaifa na kimataifa kwa masilahi ya ya nchi yetu.
 
Marekani haikwepeki mkuu kwa usawa huu wa umaskini wetu.Hatuna uwezo wa kuwakataa wamerakani
 
Marekani haikwepeki mkuu kwa usawa huu wa umaskini wetu.Hatuna uwezo wa kuwakataa wamerakani

Nakubaliana na wewe mkubwa kwa kiasi fulani, lakini nimetoa oni langu kwamba
"Tunahitaji raisi atayesimama mwenyewe katika kuendesha nchi na kufanya biashara za faida kwa nchi yetu na mataifa makubwa duniani kama Marekani."

Bila kuwa na mtu makini, Wamarekani watasomba kila kitu.
 
kweli watasomba kila kitu. na ili wasombe vizur wanaweza kutuloga tukawa kama congo. mkuu, sio vigumu kujua nani atatupeleka wapi katika hao wanaotajwatajwa. we mwizi unampa urais wa nchi unategemea nin? tena nchi kama yetu ambayo rais ni kama mungu
 
Naona watu wengi wanawaza kuhusu raisi ajaye.

Nafikiri si vibaya kwani kwa sasa tunahitaji maendeleo katika nyanja zote kupitia kiongozi imara wa nchi hasa raisi.

Pamoja na hayo, uchaguzi mkuu wa 2015 umekaribia ambapo ndo tunapohitajika kuamua raisi wetu.

Lakini mapendekezo mengi yamekuwa yakisahau kuwa raisi ajaye ni lazima asiwe pandikizi au anayeweza kubadilishwa na mataifa ya kibepari kama Marekani.
Nasema hivi kwa sababu Tanzania sasa ni 'target' kubwa ya mataifa makubwa hasa Marekani katika kunyonya rasimali za nchi.

Tunahitaji raisi atayesimama mwenyewe katika kuendesha nchi na kufanya biashara za faida kwa nchi yetu na mataifa makubwa duniani kama Marekani.

Tunahitaji raisi ambaye tunajua uhusiano wake na mataifa makubwa mapema kabla ya kuchaguliwa na hiyo ndo kazi ya TISS. Kwa kifupi hatuhitaji 'Puppet' nchini kwetu.

Watanzania wezangu, hili ni suala la msingi sana kwa kusimamia na kulinda mali na hali za watanzania wote.

Mtu yeyote anyepingiwa chapuo au mwenye mahusiano ya karibu na Marekani au nchi yeyote kubwa duniani tusimchangue kabisa.

Kwa kifupi raisi huyo anahitajika kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo ya kitaifa na kimataifa kwa masilahi ya ya nchi yetu.
Mkuu Mungu alijibu maombi yako?
 
MKUU Unajua NEO-COLONIALISM??? Unajua.multilateral insititutions??

1: IMF??

2:WORLD BANK??

3:WTO World Trade organization??

huwezi kubishana na super power under that umbrella! where is HUGO CHAVEZ??😂😂

Think big Mkuu😁😁
Naona watu wengi wanawaza kuhusu raisi ajaye.

Nafikiri si vibaya kwani kwa sasa tunahitaji maendeleo katika nyanja zote kupitia kiongozi imara wa nchi hasa raisi.

Pamoja na hayo, uchaguzi mkuu wa 2015 umekaribia ambapo ndo tunapohitajika kuamua raisi wetu.

Lakini mapendekezo mengi yamekuwa yakisahau kuwa raisi ajaye ni lazima asiwe pandikizi au anayeweza kubadilishwa na mataifa ya kibepari kama Marekani.
Nasema hivi kwa sababu Tanzania sasa ni 'target' kubwa ya mataifa makubwa hasa Marekani katika kunyonya rasimali za nchi.

Tunahitaji raisi atayesimama mwenyewe katika kuendesha nchi na kufanya biashara za faida kwa nchi yetu na mataifa makubwa duniani kama Marekani.

Tunahitaji raisi ambaye tunajua uhusiano wake na mataifa makubwa mapema kabla ya kuchaguliwa na hiyo ndo kazi ya TISS. Kwa kifupi hatuhitaji 'Puppet' nchini kwetu.

Watanzania wezangu, hili ni suala la msingi sana kwa kusimamia na kulinda mali na hali za watanzania wote.

Mtu yeyote anyepingiwa chapuo au mwenye mahusiano ya karibu na Marekani au nchi yeyote kubwa duniani tusimchangue kabisa.

Kwa kifupi raisi huyo anahitajika kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo ya kitaifa na kimataifa kwa masilahi ya ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom