Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hakika Tanzania ni moja ya nchi zilizobarikiwa kuwa na RASILIMALI nyingi sana. Tanzania ina
Tumewasikia viongozi wetu Wakijitatapa kuwa Wanataka Kujenga uchumi kwa Kutoza wananchi masikini tozo la Miamala ya simu.
Najiuliza kama Tumeshindwa kujenga uchumi kwa rasilimali hizo hapo Juu Kweli tutajenga uchumi kwa tozo la Miamala ya simu?
tatizo la Tanzania ni siasa na uongozi.
Na hayati Baba wa taifa aliwahi kusema ili tuendelee Lazima tuwe na Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora ,Tatizo ni Kutokuwa na siasa safi na uongozi bora.
Ili kuyaondoa hayo suluhisho ni Katiba Mpya tusitafute mchawi hatujarogwa.
- Maziwa
- Mito
- Mabawa
- Mbuga za Wanyama
- Mabonde
- Milima
- Ardhi
- Watu
Tumewasikia viongozi wetu Wakijitatapa kuwa Wanataka Kujenga uchumi kwa Kutoza wananchi masikini tozo la Miamala ya simu.
Najiuliza kama Tumeshindwa kujenga uchumi kwa rasilimali hizo hapo Juu Kweli tutajenga uchumi kwa tozo la Miamala ya simu?
tatizo la Tanzania ni siasa na uongozi.
Na hayati Baba wa taifa aliwahi kusema ili tuendelee Lazima tuwe na Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora ,Tatizo ni Kutokuwa na siasa safi na uongozi bora.
Ili kuyaondoa hayo suluhisho ni Katiba Mpya tusitafute mchawi hatujarogwa.