As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Alikuwepo sawa lakini alikuwa Voiceless lakin sasa hivi yy ndiyo sauti ya mwishoDah!
Kudhani mama mpya kwenye system ni kukosa uelewa,alikuwepo, yupo na atakuwepo.
Tuendelee kujifurahisha na MAZINGAOMBWE ya viongozi wetu.